Naunga mkono hoja.
Inabidi baada ya Bunge la Bajeti Mkutano wa Dar es Salaam urudiwe. Tutachangia kama tulivyofanya Chadema Square kama tulivyofanya Jumamosi tarehe 26 Mei 2012. Nadhani ndugu Lema anakumbuka kwani naye alikuwa kati ya watu waliokuwa wanakusanya michngo siku ile pale Chadema Square.
Wakuu vilvile naomba mtukumbushe ile namba ya kutuma pesa kwa ajili ya M4C kwenye M-Pesa.
Najua namba ni 111333 lakini sijajua kwamba hii namba unatuma kama unamtumia wakala au kama unamtumia mtumiaji wa simu.
Naomba maelekezo zaidi na kwa watanzania wenzangu ambao hawajaelewa ili tuweze kuchangia UKOMBOZI WA NCHI YETU KUTOKA KWA MKOLONI MWEUSI CCM
Inabidi baada ya Bunge la Bajeti Mkutano wa Dar es Salaam urudiwe. Tutachangia kama tulivyofanya Chadema Square kama tulivyofanya Jumamosi tarehe 26 Mei 2012. Nadhani ndugu Lema anakumbuka kwani naye alikuwa kati ya watu waliokuwa wanakusanya michngo siku ile pale Chadema Square.
Wakuu vilvile naomba mtukumbushe ile namba ya kutuma pesa kwa ajili ya M4C kwenye M-Pesa.
Najua namba ni 111333 lakini sijajua kwamba hii namba unatuma kama unamtumia wakala au kama unamtumia mtumiaji wa simu.
Naomba maelekezo zaidi na kwa watanzania wenzangu ambao hawajaelewa ili tuweze kuchangia UKOMBOZI WA NCHI YETU KUTOKA KWA MKOLONI MWEUSI CCM