BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Jamani unataka real evidence kabisa ama??!
Kesi hii ya defamation yahitaji tu written evidence na ipo apa apa jeiefu sa unataka nn tena wakili??!
Au ndo ushahongwa mkuu??!
Nenda kule kwenye uzi wake mwenyewe wa salamu kutoka kwa Erickb52....uone alivoni defame kwa maneno ya uongo tena mbele ya mke wangu...Onesha hizo written evidence!
By Mentor
Jamani unataka real evidence kabisa ama??!
Kesi hii ya defamation yahitaji tu written evidence na ipo apa apa jeiefu sa unataka nn tena wakili??!
Au ndo ushahongwa mkuu??!