Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,396
- Thread starter
- #21
Erickb52 namwangalia tu, mama mjazimzito atampeleka wapi? kwanza Cl mwenyewe kachooka hata kutembea hawezi
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erickb52 namwangalia tu, mama mjazimzito atampeleka wapi? kwanza Cl mwenyewe kachooka hata kutembea hawezi
Afu wewe yule mtu bado uko naye? Mwambie akautoe mkono sweta wake. Anatuharibia vyoo kwa miharufu yake.........Karibu Masai Club.
Kama unaweza njoo ule gambe.
Afu wewe yule mtu bado uko naye? Mwambie akautoe mkono sweta wake. Anatuharibia vyoo kwa miharufu yake.........
Dah mkuu C6 pole sana ila mbon hukutoa taarifa mapema??!mnanifanya nijisikie mpweke, nisiye na ndugu, mko wapi jamani, ina maana mpaka nitoke jijini sijamuona hata mmoja? jamani mnikaribishe makwenu jamani
Sitaki uwe mfupi babu wee,
Na ndo mana namwambia asiudondoshe.
Hata uwe vipi mkono wa sweta ni mkono wa sweta tu! Hivi unakupendezea eeh? We mbaya!
khaa! Disgusting! Is this true madame?
Mmmh umekwepa kujibu swali anyway kipendacho roho...
Sasa madame b si upokee simu apo ama huoni inaita??!
Yani Mbuga imejaa wanyama tupu mpaka wamamwagika.
Yani Rungu litasuuzwa mpaka libabuke.
"Wewe tu na Mfuko wako",
watoto wa mjini wanakwambia.
...hula nyama mbichi.
Umepiga kwenye Line gani?
Simu ziko Kitandani nimezifunika shuka zimekumbatiana huku zimelala.
NOKIA- HE
SAMSUNG-SHE
TECNO-SHEMALE ila amemlalia BLACKBERRY-L*SBO