OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,074
- 103,284
Nataka kuamini Lowasa kaiweka Chadema mfukoni. Tunaambiwa mazungumzo yake na Magufuli yamelegeza misimamo ya serikali. Huu utoto wa hali ya juu. Lini serikali imetoa tamko kwamba inakiri mapungufu?kma ajenda ilikuwa njema why alienda pekeyak