Wana CHADEMA kwa utabiri tunatisha

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,601
94,726
Wana bodi sisemi kwa kubahatisha bali kwa ushahidi kamili,mtakumbuka cdm ilipo mfukuza zzk kutoka CHADEMA alihama na kundi la vijana tegemeo ndani ya CHADEMA na watu wakawa wanasema kuwa huo ndio mwisho wa CHADEMA kisiasa hasa baada ya kuanzishwa kwa ACT.

Kwa umoja wetu wanaCHADEMA tuliwatabiria wote walio ikimbia CHADEMA kwa usaliti kuwa mwisho wao ni kusambaratika,na leo hii tunaiona ACT inavyo pukutika kwa kuondokewa na wale walio onekana kuwacha pengo CHADEMA.

Hili liwe ni fundisho tosha kwa wana siasa vijana kuwachana na siasa za kufuata mkumbo. Poleni sana ACT
 
Hivi vyama ambavyo vinaanzishwa karibu na uchaguzi bila kwa lengo la kushika madaraka mwisho wake ndo kama huo.
Kweli kabisa mkuu maana baada ya kuanzishwa kwa ACT tuliaminishwa kuwa huo ndio ulikuwa mwisho wa cdm lkn tunayo yashuhudia leo hii ni siri ya waanzilishi wa Act
 
Wana bodi sisemi kwa kubahatisha bali kwa ushahidi kamili,mtakumbuka cdm ilipo mfukuza zzk kutoka CHADEMA alihama na kundi la vijana tegemeo ndani ya CHADEMA na watu wakawa wanasema kuwa huo ndio mwisho wa CHADEMA kisiasa hasa baada ya kuanzishwa kwa ACT.

Kwa umoja wetu wanaCHADEMA tuliwatabiria wote walio ikimbia CHADEMA kwa usaliti kuwa mwisho wao ni kusambaratika,na leo hii tunaiona ACT inavyo pukutika kwa kuondokewa na wale walio onekana kuwacha pengo CHADEMA.

Hili liwe ni fundisho tosha kwa wana siasa vijana kuwachana na siasa za kufuata mkumbo. Poleni sana ACT
hivi cdm bado ipo? mi nilishakihama miaka mingi sana na sioni kama kina exist anymore. tutegemee chama kingine kipya kiundwe labda.
 
hivi cdm bado ipo? mi nilishakihama miaka mingi sana na sioni kama kina exist anymore. tutegemee chama kingine kipya kiundwe labda.
Mliaminishwa kuwa mkihama cdm basi cdm itakufa hivyo kuipa ahueni ccm lkn sasa mnajuta na kusaga meno
hivi cdm bado ipo? mi nilishakihama miaka mingi sana na sioni kama kina exist anymore. tutegemee chama kingine kipya kiundwe labda.
 
hivi cdm bado ipo? mi nilishakihama miaka mingi sana na sioni kama kina exist anymore. tutegemee chama kingine kipya kiundwe labda.
Mliaminishwa kuwa mkihama cdm basi cdm itakufa hivyo kuipa ahueni ccm lkn sasa mnajuta na kusaga meno
 
Mliaminishwa kuwa mkihama cdm basi cdm itakufa hivyo kuipa ahueni ccm lkn sasa mnajuta na kusaga meno
sasa cdm bila dr, bila mzito kabwela, ikiwa na lowasa na sumaye wenye ushahidi sio wa mazingira ila ya vitu vinavyoonekana kuwa hawako safi, utaleta sera gani watu wenye akili wakakuelewa? sasaivi watz tupo njia panda hatujui hata tunakoelekea, na hiyo 2020 sijui itakuwaje kwasababu chama watu walichokitegemea kiliuzwa kwa salvages toka sisiemu ambayo ndio walikuwa na kashfa nzito kuliko zile walizonazo wanaccm wengine wote. mbowe na babamkwe waliuza icho chama na hakitakuja kusimama labda kiundwe kipya. hata lema n amshauri ahamie chama kingine chochote. Act nahisi kitakuwa ndio habari ya mjini 2020.
 
basi kama imethibitika kuwa tunautabiri mzuri,tutabiri mambo yanayotuhusu sisi kama CHADEMA.
Tunahitaji mambo ya msingi kama, kushika DOLA.
Hayo mambo ya ACT hata hayana faida kwetu, wala hata sio ya kujivunia kabisa

-CHADEMA forever
 
sasa cdm bila dr, bila mzito kabwela, ikiwa na lowasa na sumaye wenye ushahidi sio wa mazingira ila ya vitu vinavyoonekana kuwa hawako safi, utaleta sera gani watu wenye akili wakakuelewa? sasaivi watz tupo njia panda hatujui hata tunakoelekea, na hiyo 2020 sijui itakuwaje kwasababu chama watu walichokitegemea kiliuzwa kwa salvages toka sisiemu ambayo ndio walikuwa na kashfa nzito kuliko zile walizonazo wanaccm wengine wote. mbowe na babamkwe waliuza icho chama na hakitakuja kusimama labda kiundwe kipya. hata lema n amshauri ahamie chama kingine chochote. Act nahisi kitakuwa ndio habari ya mjini 2020.
Kwa wenye akili wanaielewa vyema cdm na sera zao bora kuliko chama chochote hapa Tanzania ndio maana mamilioni ya watanzania waliichagua
 
Hatushindi,tena kwa siasa hizi za matukio za Mbowe na Mashinji.Siasa zisizo kuwa na utendaji kila siku sera uchwara...Mara ukuta,Kata funua Upuzi mtupu.
 
Kwa wenye akili wanaielewa vyema cdm na sera zao bora kuliko chama chochote hapa Tanzania ndio maana mamilioni ya watanzania waliichagua
sera gani lema amekaa gerezani hadi xmass hakuna wa kumsaidia, sera gani sumaye anayejulikana na kila mtu ndio kiongozi wenu, lowasa anayejulikana na kila mtu kwa yale aliyoyafanya ndio kiongozi wenu, icho ni chama cha frimani na baba mkwe wake. tatizo wengine mnashabikia tu kwasababu kimeanzishwa na watu wa mlima, hata kama kina makosa hamuwezi kuona hilo.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom