Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Kwa ufupi ningependa kuwakumbusha wana CHADEMA wote kuwa muda huu ambao magamba wamehamanika kudai kadi yao toka kwa Kamanda Dr. Slaa na kusahau wajibu wao. Kwetu sisi ndio muda muafaka ambao Mungu ameutoa tuutumie kujenga chama.
Hivyo kuna kila sababu ya kutumia muda huu kuhamasishana katika kutengeneza chama imara.
VIVA CDM.
Hivyo kuna kila sababu ya kutumia muda huu kuhamasishana katika kutengeneza chama imara.
VIVA CDM.