Wana CCM tushtuke, kama wagombea wanapitishwa na polisi/wakurugenzi juu kwa juu, zile posho za upambe/fitna 2020 tutakosa, sasa zamu yetu kuisoma!

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,960
20,532
Miaka kadhaa hapo nyuma,uchaguzi ukikaribia,wagombea wa Ccm walikuwa wanajipanga kwa hoja,na walikuwa wanajiandaa kuzifafanua kwa wapiga kura.

Katika kujipanga kisera, mgombea alipata kundi la wapambe waliomwelewa na kumuunga mkono,na aliwapa jukumu la kushawishi wanachama na wapiga kura,kupitia utaratibu huu, mgombea "aliwezesha" makada ili wasambaze ajenda za mgombea, kwa kweli kwa utaratibu huu watu tulifaidika na wengine tulijenga tuvibanda mjini.

Kipindi kabla ya uchaguzi,na magazeti yalikuwa na kambi,kwa waandishi ilikuwa kipindi cha mavuno.

Sasa hali tofauti,japo wana Ccm tunashangilia jamaa zetu wanavyopita bila kupingwa, sasa tujiandae, tutakosa tisheti ambazo zilikuwa zinatusitiri,tutakosa vihela vilivyokuwa vinapitapita, wagombea hawatatuthamini sisi wanachama,watathamini polisi na wakurugenzi na watawajali ili watangaze matokea au kuwaambia wajifiche wasipokee fomu za ugombea za wapinzani.

Chama kitabaki kwa wagombea na maafisa uchaguzi tu! Mgombea akiwa vizuri kwenye chama na kwa Afisa uchaguzi, mambo yamekwisha, mshindi anatangazwa kwa nguvu na nadhani hata polisi wataajiriwa kwa wingi.

Wapambe na makada,sasa tutafute shughuli ingine,shughuli ya kuitaftia Ccm kura itafanywa na polisi na wakurugenzi
 
Hichi chama kikifa tutakuwa tumepata ukombozi wa pili tunaoutafuta kwa udi na uvumba.
 
Miaka kadhaa hapo nyuma,uchaguzi ukikaribia,wagombea wa Ccm walikuwa wanajipanga kwa hoja,na walikuwa wanajiandaa kuzifafanua kwa wapiga kura.

Katika kujipanga kisera, mgombea alipata kundi la wapambe waliomwelewa na kumuunga mkono,na aliwapa jukumu la kushawishi wanachama na wapiga kura,kupitia utaratibu huu, mgombea "aliwezesha" makada ili wasambaze ajenda za mgombea, kwa kweli kwa utaratibu huu watu tulifaidika na wengine tulijenga tuvibanda mjini.

Kipindi kabla ya uchaguzi,na magazeti yalikuwa na kambi,kwa waandishi ilikuwa kipindi cha mavuno.

Sasa hali tofauti,japo wana Ccm tunashangilia jamaa zetu wanavyopita bila kupingwa, sasa tujiandae, tutakosa tisheti ambazo zilikuwa zinatusitiri,tutakosa vihela vilivyokuwa vinapitapita, wagombea hawatatuthamini sisi wanachama,watathamini polisi na wakurugenzi na watawajali ili watangaze matokea au kuwaambia wajifiche wasipokee fomu za ugombea za wapinzani.

Chama kitabaki kwa wagombea na maafisa uchaguzi tu! Mgombea akiwa vizuri kwenye chama na kwa Afisa uchaguzi, mambo yamekwisha, mshindi anatangazwa kwa nguvu na nadhani hata polisi wataajiriwa kwa wingi.

Wapambe na makada,sasa tutafute shughuli ingine,shughuli ya kuitaftia Ccm kura itafanywa na polisi na wakurugenzi
Mazoea yana taabu; mlizoea wagombea wezi walioingia madarakani kwa rushwa. Watu waliiba fedha za umma badae wanawahonga kidogo mnawarudisha madarakani. Sasa hata maskini akijipambanua vyema anayo nafasi ya kuwa kiongozi.
 
Mazoea yana taabu; mlizoea wagombea wezi walioingia madarakani kwa rushwa. Watu waliiba fedha za umma badae wanawahonga kidogo mnawarudisha madarakani. Sasa hata maskini akijipambanua vyema anayo nafasi ya kuwa kiongozi.
Chama kitapasuka,haiwezekani wale peke yao
 
Miaka kadhaa hapo nyuma,uchaguzi ukikaribia,wagombea wa Ccm walikuwa wanajipanga kwa hoja,na walikuwa wanajiandaa kuzifafanua kwa wapiga kura.

Katika kujipanga kisera, mgombea alipata kundi la wapambe waliomwelewa na kumuunga mkono,na aliwapa jukumu la kushawishi wanachama na wapiga kura,kupitia utaratibu huu, mgombea "aliwezesha" makada ili wasambaze ajenda za mgombea, kwa kweli kwa utaratibu huu watu tulifaidika na wengine tulijenga tuvibanda mjini.

Kipindi kabla ya uchaguzi,na magazeti yalikuwa na kambi,kwa waandishi ilikuwa kipindi cha mavuno.

Sasa hali tofauti,japo wana Ccm tunashangilia jamaa zetu wanavyopita bila kupingwa, sasa tujiandae, tutakosa tisheti ambazo zilikuwa zinatusitiri,tutakosa vihela vilivyokuwa vinapitapita, wagombea hawatatuthamini sisi wanachama,watathamini polisi na wakurugenzi na watawajali ili watangaze matokea au kuwaambia wajifiche wasipokee fomu za ugombea za wapinzani.

Chama kitabaki kwa wagombea na maafisa uchaguzi tu! Mgombea akiwa vizuri kwenye chama na kwa Afisa uchaguzi, mambo yamekwisha, mshindi anatangazwa kwa nguvu na nadhani hata polisi wataajiriwa kwa wingi.

Wapambe na makada,sasa tutafute shughuli ingine,shughuli ya kuitaftia Ccm kura itafanywa na polisi na wakurugenzi
kinembe ni wewe au mwingine?
 
Mazoea yana taabu; mlizoea wagombea wezi walioingia madarakani kwa rushwa. Watu waliiba fedha za umma badae wanawahonga kidogo mnawarudisha madarakani. Sasa hata maskini akijipambanua vyema anayo nafasi ya kuwa kiongozi.

Kwani tofauti iko wapi na sasa ambapo mgombea anapitishwa na vyombo vya dola na wakurugenzi?
 
Ndo kati ya makundi yaliyobaki kundi la mwisho ni la ........ wao ndo watausaidia kupata ukombozi
 
Mazoea yana taabu; mlizoea wagombea wezi walioingia madarakani kwa rushwa. Watu waliiba fedha za umma badae wanawahonga kidogo mnawarudisha madarakani. Sasa hata maskini akijipambanua vyema anayo nafasi ya kuwa kiongozi.
Unaongea utafikiri uko Bitswana..?? CCM ipi haina rushwa? Kama chini ya Nyerere kulikuwa na Rushwa itakuwa hii ya Mpiga dili aliyejificha kwenye ukali.?
 
Back
Top Bottom