BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Kuna wana ccm wa ajabu sana yani wao ukiwauliza utasikia Rais wetu atashinda kwa kishindo,ukimuuliza umefanya utafiti?anaanza kukuambia Raisi kajenga reli,kaleta ndege,meli,mabara bara.Yaani unatamani hata umchape kofi.
Naomba niwaambie wana ccm uchaguzi wa mwaka huu si lelemama.Kuna mambo wananchi wanayazungumza mpaka unashangaa.Kama tutategemea haya mandege ndo kampeni zetu tumekwisha.
Naomba niwaambie wana ccm uchaguzi wa mwaka huu si lelemama.Kuna mambo wananchi wanayazungumza mpaka unashangaa.Kama tutategemea haya mandege ndo kampeni zetu tumekwisha.