Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,862
- 3,190
Black mailing dhidi ya Rais Samia
Kuna kundi wamedhamiria kufanya blackmailing. Ofcourse wako bado serikalini na wako na vyeo vyao.
Rais Samia hakutaka kuwatoa wote tunajua hakutaka lawama lakini wedhamiria kumblack mail Mama
Tumeona wanaprovoke kwenye baadhi ya mambo wakipinga ziara za nje za Rais Samia, Wakipinga Mkopo wa IMF, wakipinga machinga kupangwa, wakipinga Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia.
Kwa mtego wabunge wameingia kwenye hii trick, hatuwasikii mtaani wakiongelea mazuri ya Rais Samia 2025 sio mbali.
Pressure kubwa wameiweka mitandaoni ili kumuogopesha Samia kutofanya mabadiliko na kuendelea kuwakumbatia.
Kuna kundi wamedhamiria kufanya blackmailing. Ofcourse wako bado serikalini na wako na vyeo vyao.
Rais Samia hakutaka kuwatoa wote tunajua hakutaka lawama lakini wedhamiria kumblack mail Mama
Tumeona wanaprovoke kwenye baadhi ya mambo wakipinga ziara za nje za Rais Samia, Wakipinga Mkopo wa IMF, wakipinga machinga kupangwa, wakipinga Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia.
Kwa mtego wabunge wameingia kwenye hii trick, hatuwasikii mtaani wakiongelea mazuri ya Rais Samia 2025 sio mbali.
Pressure kubwa wameiweka mitandaoni ili kumuogopesha Samia kutofanya mabadiliko na kuendelea kuwakumbatia.