mwamkata muhamad
Member
- Jul 27, 2012
- 19
- 7
Nguvu ya Edward Lowassa kisiasa ilidhihirika katika ziara ya Katibu Mkuu mpya wa CCM Abdulrahman Kinana na ujumbe wake mkoani Arusha. Kila walipofika, Lowassa alishangiliwa sana.
Kali ilikuwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid alikuwa wa mwisho kupanda jukwaani, pale jina lake lilipotajwa uwanja ulilipuka na mara baada ya hotuba yake ilibidi walinzi wake kufanya kazi ya ziada na kuzuia watu waliyotaka kumgusa na kumsahau mgeni rasmi.
Gari lake lilisukumwa hadi nje ya uwanja huku kina mama wakilifuta kwa kanga zao.
Huyo ndiyo Edward Lowassa
Kali ilikuwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid alikuwa wa mwisho kupanda jukwaani, pale jina lake lilipotajwa uwanja ulilipuka na mara baada ya hotuba yake ilibidi walinzi wake kufanya kazi ya ziada na kuzuia watu waliyotaka kumgusa na kumsahau mgeni rasmi.
Gari lake lilisukumwa hadi nje ya uwanja huku kina mama wakilifuta kwa kanga zao.
Huyo ndiyo Edward Lowassa