Wana Arusha veepee, tumewafunika wa Dar mbaya mbovu

bushland

JF-Expert Member
Mar 6, 2015
7,016
4,961
Oyooo machaliii veepee, manyookaaa veeepee, marasta veepeee, mafly culture veepee,
Mi nipo picnic hapa viwanja vya stress free zone, haya mavazi ya wahudumu mbona balaa, mizungu ya unga toka Mererani wamefunikaje hapa,wanagawa Bia wacha kabisa migodi imetema balaa, Vip huko milestone, Masai camp, via via , naona wazungu wamejimwaga mbaya Sana midolari inatembea Tu.
 
January wataanza isoma namba kwa kirumi ni mwendo wa iv,v,viii . maana wanaisoma kwa kiswahili bado wabishi
 
Nyie vijana si mnasema pesa hakuna na maisha ni magumu sasa hiyo pesa ya kuruka viwanja imetoka wapi au ni unafiki tuu ndo umewajaa
 
Oyooo machaliii veepee, manyookaaa veeepee, marasta veepeee, mafly culture veepee,
Mi nipo picnic hapa viwanja vya stress free zone, haya mavazi ya wahudumu mbona balaa, mizungu ya unga toka Mererani wamefunikaje hapa,wanagawa Bia wacha kabisa migodi imetema balaa, Vip huko milestone, Masai camp, via via , naona wazungu wamejimwaga mbaya Sana midolari inatembea Tu.

Dar kwa jinsi walivyo malofa bado wanazungusha mikono ili kuona mabadiliko!!!
Mawazo ya vijana wa vijijini shida mpaka basi.Mmeshanyonya viroba na mbege mnahisi mko ulaya
 
Back
Top Bottom