Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 850
- 786
Ukistaajabu ya Mussa…..! Hawa wasaliti watapitisha wapi nyuso zao? Na huyo msajiri alaaniwe milele! Na MATAGA humu wanathubutu kutetea ujinga huu! Hivi hivyo vishilingi vikiisha baada ya uchaguzi mtafanya kazi gani? Au mmehakikishiwa kuendelea na kazi hadi uchaguzi ujao? Shame on you all!