Uchaguzi 2020 Wana ACT-Wazalendo wamuandikia Barua Msajili wa Vyama vya Siasa kumwambia Maalim na Zitto wamepoteza sifa za kuwa wanachama wa ACT-Wazalendo

Ukistaajabu ya Mussa…..! Hawa wasaliti watapitisha wapi nyuso zao? Na huyo msajiri alaaniwe milele! Na MATAGA humu wanathubutu kutetea ujinga huu! Hivi hivyo vishilingi vikiisha baada ya uchaguzi mtafanya kazi gani? Au mmehakikishiwa kuendelea na kazi hadi uchaguzi ujao? Shame on you all!
 
21/10/2020

Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania,
Kivukoni, Ilala CBD, 1 Shabaani Robert Str.,
11101 Dar Es Salaam, S. L. P 63010, Tanzania.
info@orpp.go.tz


Mheshimiwa Msajili,

YAH: UKIUKWAJI WA KATIBA YA CHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO), 2015 TOLEO LA 2020.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA ZANZIBAR, 1984.

UKOSEFU WA SIFA ZA UANACHAMA KWA NDUGU MAALIM SEIF HAMAD NA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE.


Sisi, Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440) ni wanachama hai wa Chama cha ACT Wazalendo. Ndugu Msajili, tunapenda kuchukua nafasi kuleta kwako taarifa rasmi kama wanachama na wapiga kura walioandikishwa kuhusu masuala ambayo kwa kiasi kikubwa ni uvunjaji na ukiukwaji wa Katiba ya Chama chetu, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katiba ya Zanzibar, Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 na Sheria za Uchaguzi. tunaomba kuwasilisha taarifa hiyo kama ifuatavyo;

1.0 IBARA YA KATIBA YA ACT WAZALENDO ILIYOVUNJWA

1.1 Ibara ya 13(4)
ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 inaeleza kwamba, “pamoja na sababu nyingine kama zilivyoelezwa katika katiba hii na kanuni zitakazotungwa na Halmashauri Kuu, mwanachama yeyote ambaye atasaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi atakuwa amepoteza uanachama wa ACT”.

1.2 Kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba hiyo.

2.0 VITENDO/KAULI ZA UVUNJIFU WA KATIBA YA ACT WAZALENDO

2.1 Ndugu Msajili
, Chama cha ACT Wazalendo kupitia Mkutano Mkuu wa Taifa kilimpendekeza na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa sababu uamuzi wa kusimamisha mgombea wa nafasi ya Urais ni uamuzi wa msingi (core function) ya Mkutano Mkuu wa Taifa hakuna kikao au chombo kingine chochote chenye mamlaka ya KUTENGUA au KWENDA KINYUME na maamuzi hayo isipokuwa Mkutano Mkuu wa Taifa wenyewe. Mkutano Mkuu wa Taifa haukutoa azimio maalum kwamba endapo Mgombea wetu hatafanya kampeni basi viongozi wa kitaifa wamuunge mkono Mgombea wa Chama kingine.

2.2 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(3) na (4) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyorekebishwa na Sheria ya Marekebisho, G.N. 1 ya 2019 Mkutano Mkuu na Kamati Kuu wa/ya Chama cha siasa HAZIRUHUSIWI kukasimisha madaraka yake ya msingi (core functions) kwa chombo kingine chochote. Kifungu hicho kinasomeka hivi;

A political party general meeting and national executive committee or any similar organ shall not delegate their core functions prescribed in the party constitution

For the purpose of subsection (3), core functions means-

(a) in the case of the party national general meeting, be enactment and amendment of party constitution, election of party national chairman, deputy national chairman and nomination of presidential candidate..


2.3
Maelezo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwamba Kamati ya Uongozi iliketi na kuamua kwamba Chama kimuunge mkono Mgombea mwingine wakati tuna mgombea wetu ni upotoshaji kwani maamuzi hayo yanapaswa kutolewa na Mkutano Mkuu wa Taifa na sio Kamati ya Uongozi au chombo kingine chochote.

2.4 Kitendo cha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kutoa matamko hadharani kwamba wanamuunga mkono Ndugu Tundu Antipas Lissu ambaye ni Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni ukiukwaji wa dhahiri wa Katiba ya Chama cha ACT Wazalendo.

Ushahidi wa kauli aliyotoa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad unapatikana:

chini ya kichwa cha habari “MAALIM AMVAA MEMBE, JPM ATOA DARASA LA USHINDI CCM”.

Pia, habari inayomwonyesha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad akiwa anamnadi Ndugu Tundu Antipas Lissu inapatikana:

.


Tarehe 16/10/2020 Ndugu Zitto Zuberi Kabwe alitoa na kusambaza Tamko lenye kichwa cha habari, “Nitampigia Kura Tundu Lissu ili Awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”.

3.0 UTEUZI WA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA ACT WAZALENDO
3.1 Ndugu Msajili
, mamlaka ya kumteua Mgombea wa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Ibara ya 72(1)(f) ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho ambao hufanyika mara moja kila baada ya miezi sitini.

3.2 Ndugu Msajili, kama ilivyoelezwa hapo juu, Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kupitia Mkutano Mkuu wake kilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bernard Membe bado ni Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo. Mgombea huyu hajajitoa kwenye uchaguzi huu.

3.3 Ndugu Msajili,
vilevile Chama Cha ACT Wazalendo hakijatoa taarifa yoyote kwa Tume ya Uchaguzi kujiondoa kumpendekeza Ndugu Bernard Membe kama Mgombea. Bado Ndugu Bernard Membe amependekezwa na Chama cha ACT Wazalendo.

4.0 UKOMO WA UANACHAMA WA ACT WAZALENDO
4.1 Ndugu Msajili,
imeelezwa hapo juu kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba yetu.

4.2 Ndugu Msajili, Ibara ya 13(4) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya 2015, Toleo la 2020 imevunjwa na Ndugu Maalim Seif Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwa makusudi. Hakuna Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika au uwepo wa Maazimio Maalum yaliyofanywa na Mkutano Mkuu wa Taifa uliomteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea kwamba wanachama wanaruhusiwa kukisaidia au kumsaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi.

4.3 Ndugu Msajili,
vitendo vya Ndugu Zitto Zuberi Kabwe na Maalim Seif Hamad ni ukiukaji wa Katiba ya ACT Wazalendo na matokeo yake kwa mujibu wa Ibara ya 13(4) ya Katiba yetu ni kukoma kwa uanachama.

5.0 UTARATIBU WA USHIRIKIANO WA KISIASA (COALITION) KATI YA VYAMA VYA SIASA VILIVYOSAJILIWA.
5.1 Ndugu Msajili,
Sheria ya Vyama vya Siasa inaruhusu vyama kushirikiana kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa. Hata hivyo Ndugu Zitto Zuberi Kabwe tarehe 16/10/2020 alishutumu ofisi yako kwa kutamka maneno yafuatayo, “kutokana na uwepo wa sheria kandamizi ya Vyama vya Siasa ushirikiano wa kisheria tumeona hauna maana kwetu kama Chama kwani Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani”.

5.2 Ndugu Msajili,
ni wazi kwamba ofisi yako haina mamlaka ya kuidhinisha au kutoidhinisha Mkataba wa Ushirikiano (Coalition Agreement) baina ya Vyama vya Siasa. Kwa sababu hiyo madai kwamba Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani” hayakuwa na msingi wowote ila yalilenga kuhalalisha uvunjifu wa Katiba yetu ya ACT Wazalendo kama ilivyojidhihirisha.

5.3 Ndugu Msajili, maamuzi ya ushirikiano na vyama vingine vya siasa ikiwa ni pamoja na kuunganisha Chama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo ni moja ya maamuzi muhimu ambao lazima ufanywe na Mkutano Mkuu wa Taifa na chombo hicho hakiwezi kukasimisha madaraka hayo kwa chombo kingine bila kufuata utaratibu uliwekwa na Katiba yetu.

5.4 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa Ibara ya 18(i) ya Katiba ya ACT Wazalendo Kamati ya Uongozi ya kila ngazi au Kamati Kuu Taifa zinaweza kukasimu baadhi ya madaraka kwa Sekretarieti yake kwa azimio la wingi wa kura za wajumbe wa kikao. Mkutano Mkuu unaweza kukasimu kwa Halmashauri Kuu baadhi ya madaraka yake, lakini kwa azimio maalumu kwa ajili hiyo. Lazima kuwe na Azimio Maalum.

6.0 MAMLAKA YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
6.1
Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo mwanachama yeyote anayekiuka Katiba hiyo anaweza kufukuzwa au kupewa adhabu nyingine kama onyo au karipio. Mwanachama ambaye anakosa sifa ya uanachama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo uanachama wake UNAKOMA.

6.2 Ndugu Maalif Seif Shariff Hamad
na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe wote wamekosa sifa za uanachama wa ACT Wazalendo hivyo sio wanachama wala viongozi wetu.

6.3 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(2) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyofanyiwa marekebisho, Vyama vyote vya Siasa vinapaswa kuongozwa na kusimamia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Katiba ya Zanzibar, Katiba za Vyama hivyo na misingi ya Demokrasia na Utawala Bora. iliyo chini ya uangalizi wako.

6.4 Ndugu Msajili, kutokana na ukiukwaji wa wazi wa Katiba ya ACT Wazalendo na hivyo Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe uanachama wao KUKOMA, unayo mamlaka chini sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 vifungu vya 5(a) na 5B(1) kama msimamizi wa sheria hiyo na utekelezaji wake wa jumla. Chini ya Sheria hiyo ya Vyama vya Siasa, vifungu vya 8(C)(1) & (2), unaweza kuitisha rejesta (register) ya majina ya viongozi na wanachama wa ACT Wazalendo na kuhakikisha kwamba majina yao yameondolea kwani wamekosa sifa za uanachama.

HITIMISHO:

Ndugu Msajili,
suala la ukomo wa uanachama wa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe sio suala la wanachama wa ACT Wazalendo pekee. Suala hili linamhusu mtu yeyote ambae ni raia wa Tanzania na haswa mpiga kura kwani wawili hawa ni wagombea na viongozi wa juu ndani ya Chama chetu. Kitendo chao cha kukiuka Katiba yao kwa kushawishi wapiga kura kumchagua mgombea mwingine wakati Chama chetu kina Mgombea kwa mujibu wa sheria za nchi kimeleta sintofahamu ndani ya Chama kwani;

kimesababisha baadhi ya wagombea wetu kukosa kuungwa mkono kwa sababu tunaonekana hatuna msimamo,

wagombea wengi wa udiwani na ubunge ambao walijitoa kwa hali na mali na kuingia gharama kubwa kujiandaa na uchaguzi wamevunjika moyo sana kwa kauli za viongozi hao.

Kauli zao zitawasababisha baadhi ya wapiga kura wasusie kupiga kura kwa Mgombea wetu, Ndugu Bernard Membe, kwa kuamini hata shinda kwani tayari hata Chama chake hakimuungi mkono hivyo ni kuwanyima haki yao ya msingi ya kuchagua.


Chama chetu kimekuwa kikijipambanua kusimamia misingi ya utawala bora na uwazi lakini kwa kitendo ambacho kimefanywa na viongozi hawa wakuu ni wazi kabisa kwa makusudi wameamua kuachana na misingi hiyo kwa maslahi yao binafis ya kutafuta uongozi kwa njia yoyote. Hii sio demokrasia tunayoipigania na matokeo yake ni kuvuruga Chama, wanachama na viongozi kwa ujumla. Ni matarajio yetu kwamba suala hili utalipa uzito unaostahili na kulifanyia kazi kwa haraka.

Tunaomba kuwasilisha kwako,

Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na
Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440)

Nakala:


Mwenyekiti,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC),
Dodoma.

Mwenyekiti,
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Zanzibar.

Mwanasheria Mkuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dodoma.


Mwanasheria Mkuu, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,
Zanzibar.

Wakati ACT - W inazuiliwa kufanya siasa mlikuwepo?
 
21/10/2020

Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania,
Kivukoni, Ilala CBD, 1 Shabaani Robert Str.,
11101 Dar Es Salaam, S. L. P 63010, Tanzania.
info@orpp.go.tz


Mheshimiwa Msajili,

YAH: UKIUKWAJI WA KATIBA YA CHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO), 2015 TOLEO LA 2020.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA ZANZIBAR, 1984.

UKOSEFU WA SIFA ZA UANACHAMA KWA NDUGU MAALIM SEIF HAMAD NA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE.


Sisi, Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440) ni wanachama hai wa Chama cha ACT Wazalendo. Ndugu Msajili, tunapenda kuchukua nafasi kuleta kwako taarifa rasmi kama wanachama na wapiga kura walioandikishwa kuhusu masuala ambayo kwa kiasi kikubwa ni uvunjaji na ukiukwaji wa Katiba ya Chama chetu, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katiba ya Zanzibar, Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 na Sheria za Uchaguzi. tunaomba kuwasilisha taarifa hiyo kama ifuatavyo;

1.0 IBARA YA KATIBA YA ACT WAZALENDO ILIYOVUNJWA

1.1 Ibara ya 13(4)
ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 inaeleza kwamba, “pamoja na sababu nyingine kama zilivyoelezwa katika katiba hii na kanuni zitakazotungwa na Halmashauri Kuu, mwanachama yeyote ambaye atasaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi atakuwa amepoteza uanachama wa ACT”.

1.2 Kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba hiyo.

2.0 VITENDO/KAULI ZA UVUNJIFU WA KATIBA YA ACT WAZALENDO

2.1 Ndugu Msajili
, Chama cha ACT Wazalendo kupitia Mkutano Mkuu wa Taifa kilimpendekeza na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa sababu uamuzi wa kusimamisha mgombea wa nafasi ya Urais ni uamuzi wa msingi (core function) ya Mkutano Mkuu wa Taifa hakuna kikao au chombo kingine chochote chenye mamlaka ya KUTENGUA au KWENDA KINYUME na maamuzi hayo isipokuwa Mkutano Mkuu wa Taifa wenyewe. Mkutano Mkuu wa Taifa haukutoa azimio maalum kwamba endapo Mgombea wetu hatafanya kampeni basi viongozi wa kitaifa wamuunge mkono Mgombea wa Chama kingine.

2.2 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(3) na (4) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyorekebishwa na Sheria ya Marekebisho, G.N. 1 ya 2019 Mkutano Mkuu na Kamati Kuu wa/ya Chama cha siasa HAZIRUHUSIWI kukasimisha madaraka yake ya msingi (core functions) kwa chombo kingine chochote. Kifungu hicho kinasomeka hivi;

A political party general meeting and national executive committee or any similar organ shall not delegate their core functions prescribed in the party constitution

For the purpose of subsection (3), core functions means-

(a) in the case of the party national general meeting, be enactment and amendment of party constitution, election of party national chairman, deputy national chairman and nomination of presidential candidate..


2.3
Maelezo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwamba Kamati ya Uongozi iliketi na kuamua kwamba Chama kimuunge mkono Mgombea mwingine wakati tuna mgombea wetu ni upotoshaji kwani maamuzi hayo yanapaswa kutolewa na Mkutano Mkuu wa Taifa na sio Kamati ya Uongozi au chombo kingine chochote.

2.4 Kitendo cha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kutoa matamko hadharani kwamba wanamuunga mkono Ndugu Tundu Antipas Lissu ambaye ni Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni ukiukwaji wa dhahiri wa Katiba ya Chama cha ACT Wazalendo.

Ushahidi wa kauli aliyotoa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad unapatikana:

chini ya kichwa cha habari “MAALIM AMVAA MEMBE, JPM ATOA DARASA LA USHINDI CCM”.

Pia, habari inayomwonyesha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad akiwa anamnadi Ndugu Tundu Antipas Lissu inapatikana:

.


Tarehe 16/10/2020 Ndugu Zitto Zuberi Kabwe alitoa na kusambaza Tamko lenye kichwa cha habari, “Nitampigia Kura Tundu Lissu ili Awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”.

3.0 UTEUZI WA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA ACT WAZALENDO
3.1 Ndugu Msajili
, mamlaka ya kumteua Mgombea wa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Ibara ya 72(1)(f) ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho ambao hufanyika mara moja kila baada ya miezi sitini.

3.2 Ndugu Msajili, kama ilivyoelezwa hapo juu, Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kupitia Mkutano Mkuu wake kilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bernard Membe bado ni Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo. Mgombea huyu hajajitoa kwenye uchaguzi huu.

3.3 Ndugu Msajili,
vilevile Chama Cha ACT Wazalendo hakijatoa taarifa yoyote kwa Tume ya Uchaguzi kujiondoa kumpendekeza Ndugu Bernard Membe kama Mgombea. Bado Ndugu Bernard Membe amependekezwa na Chama cha ACT Wazalendo.

4.0 UKOMO WA UANACHAMA WA ACT WAZALENDO
4.1 Ndugu Msajili,
imeelezwa hapo juu kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba yetu.

4.2 Ndugu Msajili, Ibara ya 13(4) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya 2015, Toleo la 2020 imevunjwa na Ndugu Maalim Seif Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwa makusudi. Hakuna Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika au uwepo wa Maazimio Maalum yaliyofanywa na Mkutano Mkuu wa Taifa uliomteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea kwamba wanachama wanaruhusiwa kukisaidia au kumsaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi.

4.3 Ndugu Msajili,
vitendo vya Ndugu Zitto Zuberi Kabwe na Maalim Seif Hamad ni ukiukaji wa Katiba ya ACT Wazalendo na matokeo yake kwa mujibu wa Ibara ya 13(4) ya Katiba yetu ni kukoma kwa uanachama.

5.0 UTARATIBU WA USHIRIKIANO WA KISIASA (COALITION) KATI YA VYAMA VYA SIASA VILIVYOSAJILIWA.
5.1 Ndugu Msajili,
Sheria ya Vyama vya Siasa inaruhusu vyama kushirikiana kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa. Hata hivyo Ndugu Zitto Zuberi Kabwe tarehe 16/10/2020 alishutumu ofisi yako kwa kutamka maneno yafuatayo, “kutokana na uwepo wa sheria kandamizi ya Vyama vya Siasa ushirikiano wa kisheria tumeona hauna maana kwetu kama Chama kwani Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani”.

5.2 Ndugu Msajili,
ni wazi kwamba ofisi yako haina mamlaka ya kuidhinisha au kutoidhinisha Mkataba wa Ushirikiano (Coalition Agreement) baina ya Vyama vya Siasa. Kwa sababu hiyo madai kwamba Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani” hayakuwa na msingi wowote ila yalilenga kuhalalisha uvunjifu wa Katiba yetu ya ACT Wazalendo kama ilivyojidhihirisha.

5.3 Ndugu Msajili, maamuzi ya ushirikiano na vyama vingine vya siasa ikiwa ni pamoja na kuunganisha Chama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo ni moja ya maamuzi muhimu ambao lazima ufanywe na Mkutano Mkuu wa Taifa na chombo hicho hakiwezi kukasimisha madaraka hayo kwa chombo kingine bila kufuata utaratibu uliwekwa na Katiba yetu.

5.4 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa Ibara ya 18(i) ya Katiba ya ACT Wazalendo Kamati ya Uongozi ya kila ngazi au Kamati Kuu Taifa zinaweza kukasimu baadhi ya madaraka kwa Sekretarieti yake kwa azimio la wingi wa kura za wajumbe wa kikao. Mkutano Mkuu unaweza kukasimu kwa Halmashauri Kuu baadhi ya madaraka yake, lakini kwa azimio maalumu kwa ajili hiyo. Lazima kuwe na Azimio Maalum.

6.0 MAMLAKA YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
6.1
Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo mwanachama yeyote anayekiuka Katiba hiyo anaweza kufukuzwa au kupewa adhabu nyingine kama onyo au karipio. Mwanachama ambaye anakosa sifa ya uanachama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo uanachama wake UNAKOMA.

6.2 Ndugu Maalif Seif Shariff Hamad
na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe wote wamekosa sifa za uanachama wa ACT Wazalendo hivyo sio wanachama wala viongozi wetu.

6.3 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(2) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyofanyiwa marekebisho, Vyama vyote vya Siasa vinapaswa kuongozwa na kusimamia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Katiba ya Zanzibar, Katiba za Vyama hivyo na misingi ya Demokrasia na Utawala Bora. iliyo chini ya uangalizi wako.

6.4 Ndugu Msajili, kutokana na ukiukwaji wa wazi wa Katiba ya ACT Wazalendo na hivyo Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe uanachama wao KUKOMA, unayo mamlaka chini sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 vifungu vya 5(a) na 5B(1) kama msimamizi wa sheria hiyo na utekelezaji wake wa jumla. Chini ya Sheria hiyo ya Vyama vya Siasa, vifungu vya 8(C)(1) & (2), unaweza kuitisha rejesta (register) ya majina ya viongozi na wanachama wa ACT Wazalendo na kuhakikisha kwamba majina yao yameondolea kwani wamekosa sifa za uanachama.

HITIMISHO:

Ndugu Msajili,
suala la ukomo wa uanachama wa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe sio suala la wanachama wa ACT Wazalendo pekee. Suala hili linamhusu mtu yeyote ambae ni raia wa Tanzania na haswa mpiga kura kwani wawili hawa ni wagombea na viongozi wa juu ndani ya Chama chetu. Kitendo chao cha kukiuka Katiba yao kwa kushawishi wapiga kura kumchagua mgombea mwingine wakati Chama chetu kina Mgombea kwa mujibu wa sheria za nchi kimeleta sintofahamu ndani ya Chama kwani;

kimesababisha baadhi ya wagombea wetu kukosa kuungwa mkono kwa sababu tunaonekana hatuna msimamo,

wagombea wengi wa udiwani na ubunge ambao walijitoa kwa hali na mali na kuingia gharama kubwa kujiandaa na uchaguzi wamevunjika moyo sana kwa kauli za viongozi hao.

Kauli zao zitawasababisha baadhi ya wapiga kura wasusie kupiga kura kwa Mgombea wetu, Ndugu Bernard Membe, kwa kuamini hata shinda kwani tayari hata Chama chake hakimuungi mkono hivyo ni kuwanyima haki yao ya msingi ya kuchagua.


Chama chetu kimekuwa kikijipambanua kusimamia misingi ya utawala bora na uwazi lakini kwa kitendo ambacho kimefanywa na viongozi hawa wakuu ni wazi kabisa kwa makusudi wameamua kuachana na misingi hiyo kwa maslahi yao binafis ya kutafuta uongozi kwa njia yoyote. Hii sio demokrasia tunayoipigania na matokeo yake ni kuvuruga Chama, wanachama na viongozi kwa ujumla. Ni matarajio yetu kwamba suala hili utalipa uzito unaostahili na kulifanyia kazi kwa haraka.

Tunaomba kuwasilisha kwako,

Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na
Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440)

Nakala:


Mwenyekiti,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC),
Dodoma.

Mwenyekiti,
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Zanzibar.

Mwanasheria Mkuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dodoma.


Mwanasheria Mkuu, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,
Zanzibar.

Barua toka kijijini Mtama hii....
 
KATIBA YA ACT WAZALENDO
IMG_20201023_185939.jpg
 
21/10/2020

Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania,
Kivukoni, Ilala CBD, 1 Shabaani Robert Str.,
11101 Dar Es Salaam, S. L. P 63010, Tanzania.
info@orpp.go.tz


Mheshimiwa Msajili,

YAH: UKIUKWAJI WA KATIBA YA CHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO), 2015 TOLEO LA 2020.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA ZANZIBAR, 1984.

UKOSEFU WA SIFA ZA UANACHAMA KWA NDUGU MAALIM SEIF HAMAD NA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE.


Sisi, Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440) ni wanachama hai wa Chama cha ACT Wazalendo. Ndugu Msajili, tunapenda kuchukua nafasi kuleta kwako taarifa rasmi kama wanachama na wapiga kura walioandikishwa kuhusu masuala ambayo kwa kiasi kikubwa ni uvunjaji na ukiukwaji wa Katiba ya Chama chetu, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katiba ya Zanzibar, Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 na Sheria za Uchaguzi. tunaomba kuwasilisha taarifa hiyo kama ifuatavyo;

1.0 IBARA YA KATIBA YA ACT WAZALENDO ILIYOVUNJWA

1.1 Ibara ya 13(4)
ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 inaeleza kwamba, “pamoja na sababu nyingine kama zilivyoelezwa katika katiba hii na kanuni zitakazotungwa na Halmashauri Kuu, mwanachama yeyote ambaye atasaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi atakuwa amepoteza uanachama wa ACT”.

1.2 Kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba hiyo.

2.0 VITENDO/KAULI ZA UVUNJIFU WA KATIBA YA ACT WAZALENDO

2.1 Ndugu Msajili
, Chama cha ACT Wazalendo kupitia Mkutano Mkuu wa Taifa kilimpendekeza na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa sababu uamuzi wa kusimamisha mgombea wa nafasi ya Urais ni uamuzi wa msingi (core function) ya Mkutano Mkuu wa Taifa hakuna kikao au chombo kingine chochote chenye mamlaka ya KUTENGUA au KWENDA KINYUME na maamuzi hayo isipokuwa Mkutano Mkuu wa Taifa wenyewe. Mkutano Mkuu wa Taifa haukutoa azimio maalum kwamba endapo Mgombea wetu hatafanya kampeni basi viongozi wa kitaifa wamuunge mkono Mgombea wa Chama kingine.

2.2 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(3) na (4) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyorekebishwa na Sheria ya Marekebisho, G.N. 1 ya 2019 Mkutano Mkuu na Kamati Kuu wa/ya Chama cha siasa HAZIRUHUSIWI kukasimisha madaraka yake ya msingi (core functions) kwa chombo kingine chochote. Kifungu hicho kinasomeka hivi;

A political party general meeting and national executive committee or any similar organ shall not delegate their core functions prescribed in the party constitution

For the purpose of subsection (3), core functions means-

(a) in the case of the party national general meeting, be enactment and amendment of party constitution, election of party national chairman, deputy national chairman and nomination of presidential candidate..


2.3
Maelezo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwamba Kamati ya Uongozi iliketi na kuamua kwamba Chama kimuunge mkono Mgombea mwingine wakati tuna mgombea wetu ni upotoshaji kwani maamuzi hayo yanapaswa kutolewa na Mkutano Mkuu wa Taifa na sio Kamati ya Uongozi au chombo kingine chochote.

2.4 Kitendo cha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kutoa matamko hadharani kwamba wanamuunga mkono Ndugu Tundu Antipas Lissu ambaye ni Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni ukiukwaji wa dhahiri wa Katiba ya Chama cha ACT Wazalendo.

Ushahidi wa kauli aliyotoa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad unapatikana:

chini ya kichwa cha habari “MAALIM AMVAA MEMBE, JPM ATOA DARASA LA USHINDI CCM”.

Pia, habari inayomwonyesha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad akiwa anamnadi Ndugu Tundu Antipas Lissu inapatikana:

.


Tarehe 16/10/2020 Ndugu Zitto Zuberi Kabwe alitoa na kusambaza Tamko lenye kichwa cha habari, “Nitampigia Kura Tundu Lissu ili Awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”.

3.0 UTEUZI WA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA ACT WAZALENDO
3.1 Ndugu Msajili
, mamlaka ya kumteua Mgombea wa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Ibara ya 72(1)(f) ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho ambao hufanyika mara moja kila baada ya miezi sitini.

3.2 Ndugu Msajili, kama ilivyoelezwa hapo juu, Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kupitia Mkutano Mkuu wake kilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bernard Membe bado ni Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo. Mgombea huyu hajajitoa kwenye uchaguzi huu.

3.3 Ndugu Msajili,
vilevile Chama Cha ACT Wazalendo hakijatoa taarifa yoyote kwa Tume ya Uchaguzi kujiondoa kumpendekeza Ndugu Bernard Membe kama Mgombea. Bado Ndugu Bernard Membe amependekezwa na Chama cha ACT Wazalendo.

4.0 UKOMO WA UANACHAMA WA ACT WAZALENDO
4.1 Ndugu Msajili,
imeelezwa hapo juu kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba yetu.

4.2 Ndugu Msajili, Ibara ya 13(4) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya 2015, Toleo la 2020 imevunjwa na Ndugu Maalim Seif Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwa makusudi. Hakuna Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika au uwepo wa Maazimio Maalum yaliyofanywa na Mkutano Mkuu wa Taifa uliomteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea kwamba wanachama wanaruhusiwa kukisaidia au kumsaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi.

4.3 Ndugu Msajili,
vitendo vya Ndugu Zitto Zuberi Kabwe na Maalim Seif Hamad ni ukiukaji wa Katiba ya ACT Wazalendo na matokeo yake kwa mujibu wa Ibara ya 13(4) ya Katiba yetu ni kukoma kwa uanachama.

5.0 UTARATIBU WA USHIRIKIANO WA KISIASA (COALITION) KATI YA VYAMA VYA SIASA VILIVYOSAJILIWA.
5.1 Ndugu Msajili,
Sheria ya Vyama vya Siasa inaruhusu vyama kushirikiana kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa. Hata hivyo Ndugu Zitto Zuberi Kabwe tarehe 16/10/2020 alishutumu ofisi yako kwa kutamka maneno yafuatayo, “kutokana na uwepo wa sheria kandamizi ya Vyama vya Siasa ushirikiano wa kisheria tumeona hauna maana kwetu kama Chama kwani Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani”.

5.2 Ndugu Msajili,
ni wazi kwamba ofisi yako haina mamlaka ya kuidhinisha au kutoidhinisha Mkataba wa Ushirikiano (Coalition Agreement) baina ya Vyama vya Siasa. Kwa sababu hiyo madai kwamba Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani” hayakuwa na msingi wowote ila yalilenga kuhalalisha uvunjifu wa Katiba yetu ya ACT Wazalendo kama ilivyojidhihirisha.

5.3 Ndugu Msajili, maamuzi ya ushirikiano na vyama vingine vya siasa ikiwa ni pamoja na kuunganisha Chama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo ni moja ya maamuzi muhimu ambao lazima ufanywe na Mkutano Mkuu wa Taifa na chombo hicho hakiwezi kukasimisha madaraka hayo kwa chombo kingine bila kufuata utaratibu uliwekwa na Katiba yetu.

5.4 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa Ibara ya 18(i) ya Katiba ya ACT Wazalendo Kamati ya Uongozi ya kila ngazi au Kamati Kuu Taifa zinaweza kukasimu baadhi ya madaraka kwa Sekretarieti yake kwa azimio la wingi wa kura za wajumbe wa kikao. Mkutano Mkuu unaweza kukasimu kwa Halmashauri Kuu baadhi ya madaraka yake, lakini kwa azimio maalumu kwa ajili hiyo. Lazima kuwe na Azimio Maalum.

6.0 MAMLAKA YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
6.1
Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo mwanachama yeyote anayekiuka Katiba hiyo anaweza kufukuzwa au kupewa adhabu nyingine kama onyo au karipio. Mwanachama ambaye anakosa sifa ya uanachama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo uanachama wake UNAKOMA.

6.2 Ndugu Maalif Seif Shariff Hamad
na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe wote wamekosa sifa za uanachama wa ACT Wazalendo hivyo sio wanachama wala viongozi wetu.

6.3 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(2) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyofanyiwa marekebisho, Vyama vyote vya Siasa vinapaswa kuongozwa na kusimamia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Katiba ya Zanzibar, Katiba za Vyama hivyo na misingi ya Demokrasia na Utawala Bora. iliyo chini ya uangalizi wako.

6.4 Ndugu Msajili, kutokana na ukiukwaji wa wazi wa Katiba ya ACT Wazalendo na hivyo Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe uanachama wao KUKOMA, unayo mamlaka chini sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 vifungu vya 5(a) na 5B(1) kama msimamizi wa sheria hiyo na utekelezaji wake wa jumla. Chini ya Sheria hiyo ya Vyama vya Siasa, vifungu vya 8(C)(1) & (2), unaweza kuitisha rejesta (register) ya majina ya viongozi na wanachama wa ACT Wazalendo na kuhakikisha kwamba majina yao yameondolea kwani wamekosa sifa za uanachama.

HITIMISHO:

Ndugu Msajili,
suala la ukomo wa uanachama wa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe sio suala la wanachama wa ACT Wazalendo pekee. Suala hili linamhusu mtu yeyote ambae ni raia wa Tanzania na haswa mpiga kura kwani wawili hawa ni wagombea na viongozi wa juu ndani ya Chama chetu. Kitendo chao cha kukiuka Katiba yao kwa kushawishi wapiga kura kumchagua mgombea mwingine wakati Chama chetu kina Mgombea kwa mujibu wa sheria za nchi kimeleta sintofahamu ndani ya Chama kwani;

kimesababisha baadhi ya wagombea wetu kukosa kuungwa mkono kwa sababu tunaonekana hatuna msimamo,

wagombea wengi wa udiwani na ubunge ambao walijitoa kwa hali na mali na kuingia gharama kubwa kujiandaa na uchaguzi wamevunjika moyo sana kwa kauli za viongozi hao.

Kauli zao zitawasababisha baadhi ya wapiga kura wasusie kupiga kura kwa Mgombea wetu, Ndugu Bernard Membe, kwa kuamini hata shinda kwani tayari hata Chama chake hakimuungi mkono hivyo ni kuwanyima haki yao ya msingi ya kuchagua.


Chama chetu kimekuwa kikijipambanua kusimamia misingi ya utawala bora na uwazi lakini kwa kitendo ambacho kimefanywa na viongozi hawa wakuu ni wazi kabisa kwa makusudi wameamua kuachana na misingi hiyo kwa maslahi yao binafis ya kutafuta uongozi kwa njia yoyote. Hii sio demokrasia tunayoipigania na matokeo yake ni kuvuruga Chama, wanachama na viongozi kwa ujumla. Ni matarajio yetu kwamba suala hili utalipa uzito unaostahili na kulifanyia kazi kwa haraka.

Tunaomba kuwasilisha kwako,

Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na
Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440)

Nakala:


Mwenyekiti,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC),
Dodoma.

Mwenyekiti,
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Zanzibar.

Mwanasheria Mkuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dodoma.


Mwanasheria Mkuu, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,
Zanzibar.

ACT wazalendo walibugi step pale walipompokea mbobezi,
walitakiwa wajifunze kwa wazee wetu waliotikisa 2015.
kwa bahati mbaya hawakujifunza.
 
21/10/2020

Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania,
Kivukoni, Ilala CBD, 1 Shabaani Robert Str.,
11101 Dar Es Salaam, S. L. P 63010, Tanzania.
info@orpp.go.tz


Mheshimiwa Msajili,

YAH: UKIUKWAJI WA KATIBA YA CHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO), 2015 TOLEO LA 2020.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA ZANZIBAR, 1984.

UKOSEFU WA SIFA ZA UANACHAMA KWA NDUGU MAALIM SEIF HAMAD NA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE.


Sisi, Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440) ni wanachama hai wa Chama cha ACT Wazalendo. Ndugu Msajili, tunapenda kuchukua nafasi kuleta kwako taarifa rasmi kama wanachama na wapiga kura walioandikishwa kuhusu masuala ambayo kwa kiasi kikubwa ni uvunjaji na ukiukwaji wa Katiba ya Chama chetu, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katiba ya Zanzibar, Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 na Sheria za Uchaguzi. tunaomba kuwasilisha taarifa hiyo kama ifuatavyo;

1.0 IBARA YA KATIBA YA ACT WAZALENDO ILIYOVUNJWA

1.1 Ibara ya 13(4)
ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 inaeleza kwamba, “pamoja na sababu nyingine kama zilivyoelezwa katika katiba hii na kanuni zitakazotungwa na Halmashauri Kuu, mwanachama yeyote ambaye atasaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi atakuwa amepoteza uanachama wa ACT”.

1.2 Kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba hiyo.

2.0 VITENDO/KAULI ZA UVUNJIFU WA KATIBA YA ACT WAZALENDO

2.1 Ndugu Msajili
, Chama cha ACT Wazalendo kupitia Mkutano Mkuu wa Taifa kilimpendekeza na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa sababu uamuzi wa kusimamisha mgombea wa nafasi ya Urais ni uamuzi wa msingi (core function) ya Mkutano Mkuu wa Taifa hakuna kikao au chombo kingine chochote chenye mamlaka ya KUTENGUA au KWENDA KINYUME na maamuzi hayo isipokuwa Mkutano Mkuu wa Taifa wenyewe. Mkutano Mkuu wa Taifa haukutoa azimio maalum kwamba endapo Mgombea wetu hatafanya kampeni basi viongozi wa kitaifa wamuunge mkono Mgombea wa Chama kingine.

2.2 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(3) na (4) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyorekebishwa na Sheria ya Marekebisho, G.N. 1 ya 2019 Mkutano Mkuu na Kamati Kuu wa/ya Chama cha siasa HAZIRUHUSIWI kukasimisha madaraka yake ya msingi (core functions) kwa chombo kingine chochote. Kifungu hicho kinasomeka hivi;

A political party general meeting and national executive committee or any similar organ shall not delegate their core functions prescribed in the party constitution

For the purpose of subsection (3), core functions means-

(a) in the case of the party national general meeting, be enactment and amendment of party constitution, election of party national chairman, deputy national chairman and nomination of presidential candidate..


2.3
Maelezo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwamba Kamati ya Uongozi iliketi na kuamua kwamba Chama kimuunge mkono Mgombea mwingine wakati tuna mgombea wetu ni upotoshaji kwani maamuzi hayo yanapaswa kutolewa na Mkutano Mkuu wa Taifa na sio Kamati ya Uongozi au chombo kingine chochote.

2.4 Kitendo cha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kutoa matamko hadharani kwamba wanamuunga mkono Ndugu Tundu Antipas Lissu ambaye ni Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni ukiukwaji wa dhahiri wa Katiba ya Chama cha ACT Wazalendo.

Ushahidi wa kauli aliyotoa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad unapatikana:

chini ya kichwa cha habari “MAALIM AMVAA MEMBE, JPM ATOA DARASA LA USHINDI CCM”.

Pia, habari inayomwonyesha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad akiwa anamnadi Ndugu Tundu Antipas Lissu inapatikana:

.


Tarehe 16/10/2020 Ndugu Zitto Zuberi Kabwe alitoa na kusambaza Tamko lenye kichwa cha habari, “Nitampigia Kura Tundu Lissu ili Awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”.

3.0 UTEUZI WA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA ACT WAZALENDO
3.1 Ndugu Msajili
, mamlaka ya kumteua Mgombea wa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Ibara ya 72(1)(f) ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho ambao hufanyika mara moja kila baada ya miezi sitini.

3.2 Ndugu Msajili, kama ilivyoelezwa hapo juu, Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kupitia Mkutano Mkuu wake kilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bernard Membe bado ni Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo. Mgombea huyu hajajitoa kwenye uchaguzi huu.

3.3 Ndugu Msajili,
vilevile Chama Cha ACT Wazalendo hakijatoa taarifa yoyote kwa Tume ya Uchaguzi kujiondoa kumpendekeza Ndugu Bernard Membe kama Mgombea. Bado Ndugu Bernard Membe amependekezwa na Chama cha ACT Wazalendo.

4.0 UKOMO WA UANACHAMA WA ACT WAZALENDO
4.1 Ndugu Msajili,
imeelezwa hapo juu kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba yetu.

4.2 Ndugu Msajili, Ibara ya 13(4) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya 2015, Toleo la 2020 imevunjwa na Ndugu Maalim Seif Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwa makusudi. Hakuna Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika au uwepo wa Maazimio Maalum yaliyofanywa na Mkutano Mkuu wa Taifa uliomteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea kwamba wanachama wanaruhusiwa kukisaidia au kumsaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi.

4.3 Ndugu Msajili,
vitendo vya Ndugu Zitto Zuberi Kabwe na Maalim Seif Hamad ni ukiukaji wa Katiba ya ACT Wazalendo na matokeo yake kwa mujibu wa Ibara ya 13(4) ya Katiba yetu ni kukoma kwa uanachama.

5.0 UTARATIBU WA USHIRIKIANO WA KISIASA (COALITION) KATI YA VYAMA VYA SIASA VILIVYOSAJILIWA.
5.1 Ndugu Msajili,
Sheria ya Vyama vya Siasa inaruhusu vyama kushirikiana kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa. Hata hivyo Ndugu Zitto Zuberi Kabwe tarehe 16/10/2020 alishutumu ofisi yako kwa kutamka maneno yafuatayo, “kutokana na uwepo wa sheria kandamizi ya Vyama vya Siasa ushirikiano wa kisheria tumeona hauna maana kwetu kama Chama kwani Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani”.

5.2 Ndugu Msajili,
ni wazi kwamba ofisi yako haina mamlaka ya kuidhinisha au kutoidhinisha Mkataba wa Ushirikiano (Coalition Agreement) baina ya Vyama vya Siasa. Kwa sababu hiyo madai kwamba Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani” hayakuwa na msingi wowote ila yalilenga kuhalalisha uvunjifu wa Katiba yetu ya ACT Wazalendo kama ilivyojidhihirisha.

5.3 Ndugu Msajili, maamuzi ya ushirikiano na vyama vingine vya siasa ikiwa ni pamoja na kuunganisha Chama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo ni moja ya maamuzi muhimu ambao lazima ufanywe na Mkutano Mkuu wa Taifa na chombo hicho hakiwezi kukasimisha madaraka hayo kwa chombo kingine bila kufuata utaratibu uliwekwa na Katiba yetu.

5.4 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa Ibara ya 18(i) ya Katiba ya ACT Wazalendo Kamati ya Uongozi ya kila ngazi au Kamati Kuu Taifa zinaweza kukasimu baadhi ya madaraka kwa Sekretarieti yake kwa azimio la wingi wa kura za wajumbe wa kikao. Mkutano Mkuu unaweza kukasimu kwa Halmashauri Kuu baadhi ya madaraka yake, lakini kwa azimio maalumu kwa ajili hiyo. Lazima kuwe na Azimio Maalum.

6.0 MAMLAKA YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
6.1
Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo mwanachama yeyote anayekiuka Katiba hiyo anaweza kufukuzwa au kupewa adhabu nyingine kama onyo au karipio. Mwanachama ambaye anakosa sifa ya uanachama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo uanachama wake UNAKOMA.

6.2 Ndugu Maalif Seif Shariff Hamad
na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe wote wamekosa sifa za uanachama wa ACT Wazalendo hivyo sio wanachama wala viongozi wetu.

6.3 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(2) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyofanyiwa marekebisho, Vyama vyote vya Siasa vinapaswa kuongozwa na kusimamia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Katiba ya Zanzibar, Katiba za Vyama hivyo na misingi ya Demokrasia na Utawala Bora. iliyo chini ya uangalizi wako.

6.4 Ndugu Msajili, kutokana na ukiukwaji wa wazi wa Katiba ya ACT Wazalendo na hivyo Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe uanachama wao KUKOMA, unayo mamlaka chini sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 vifungu vya 5(a) na 5B(1) kama msimamizi wa sheria hiyo na utekelezaji wake wa jumla. Chini ya Sheria hiyo ya Vyama vya Siasa, vifungu vya 8(C)(1) & (2), unaweza kuitisha rejesta (register) ya majina ya viongozi na wanachama wa ACT Wazalendo na kuhakikisha kwamba majina yao yameondolea kwani wamekosa sifa za uanachama.

HITIMISHO:

Ndugu Msajili,
suala la ukomo wa uanachama wa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe sio suala la wanachama wa ACT Wazalendo pekee. Suala hili linamhusu mtu yeyote ambae ni raia wa Tanzania na haswa mpiga kura kwani wawili hawa ni wagombea na viongozi wa juu ndani ya Chama chetu. Kitendo chao cha kukiuka Katiba yao kwa kushawishi wapiga kura kumchagua mgombea mwingine wakati Chama chetu kina Mgombea kwa mujibu wa sheria za nchi kimeleta sintofahamu ndani ya Chama kwani;

kimesababisha baadhi ya wagombea wetu kukosa kuungwa mkono kwa sababu tunaonekana hatuna msimamo,

wagombea wengi wa udiwani na ubunge ambao walijitoa kwa hali na mali na kuingia gharama kubwa kujiandaa na uchaguzi wamevunjika moyo sana kwa kauli za viongozi hao.

Kauli zao zitawasababisha baadhi ya wapiga kura wasusie kupiga kura kwa Mgombea wetu, Ndugu Bernard Membe, kwa kuamini hata shinda kwani tayari hata Chama chake hakimuungi mkono hivyo ni kuwanyima haki yao ya msingi ya kuchagua.


Chama chetu kimekuwa kikijipambanua kusimamia misingi ya utawala bora na uwazi lakini kwa kitendo ambacho kimefanywa na viongozi hawa wakuu ni wazi kabisa kwa makusudi wameamua kuachana na misingi hiyo kwa maslahi yao binafis ya kutafuta uongozi kwa njia yoyote. Hii sio demokrasia tunayoipigania na matokeo yake ni kuvuruga Chama, wanachama na viongozi kwa ujumla. Ni matarajio yetu kwamba suala hili utalipa uzito unaostahili na kulifanyia kazi kwa haraka.

Tunaomba kuwasilisha kwako,

Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na
Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440)

Nakala:


Mwenyekiti,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC),
Dodoma.

Mwenyekiti,
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Zanzibar.

Mwanasheria Mkuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dodoma.


Mwanasheria Mkuu, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,
Zanzibar.


Hawa ni wenzake na patrol katawi. Maafisa vipenyo proper.

Mwaka huu ni tofauti sana tulioaga buriani kweli kweli ni wengi wa kutosha!
 
21/10/2020

Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania,
Kivukoni, Ilala CBD, 1 Shabaani Robert Str.,
11101 Dar Es Salaam, S. L. P 63010, Tanzania.
info@orpp.go.tz


Mheshimiwa Msajili,

YAH: UKIUKWAJI WA KATIBA YA CHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO), 2015 TOLEO LA 2020.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977.

UKIUKWAJI WA KATIBA YA ZANZIBAR, 1984.

UKOSEFU WA SIFA ZA UANACHAMA KWA NDUGU MAALIM SEIF HAMAD NA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE.


Sisi, Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440) ni wanachama hai wa Chama cha ACT Wazalendo. Ndugu Msajili, tunapenda kuchukua nafasi kuleta kwako taarifa rasmi kama wanachama na wapiga kura walioandikishwa kuhusu masuala ambayo kwa kiasi kikubwa ni uvunjaji na ukiukwaji wa Katiba ya Chama chetu, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katiba ya Zanzibar, Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 na Sheria za Uchaguzi. tunaomba kuwasilisha taarifa hiyo kama ifuatavyo;

1.0 IBARA YA KATIBA YA ACT WAZALENDO ILIYOVUNJWA

1.1 Ibara ya 13(4)
ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 inaeleza kwamba, “pamoja na sababu nyingine kama zilivyoelezwa katika katiba hii na kanuni zitakazotungwa na Halmashauri Kuu, mwanachama yeyote ambaye atasaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi atakuwa amepoteza uanachama wa ACT”.

1.2 Kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba hiyo.

2.0 VITENDO/KAULI ZA UVUNJIFU WA KATIBA YA ACT WAZALENDO

2.1 Ndugu Msajili
, Chama cha ACT Wazalendo kupitia Mkutano Mkuu wa Taifa kilimpendekeza na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa sababu uamuzi wa kusimamisha mgombea wa nafasi ya Urais ni uamuzi wa msingi (core function) ya Mkutano Mkuu wa Taifa hakuna kikao au chombo kingine chochote chenye mamlaka ya KUTENGUA au KWENDA KINYUME na maamuzi hayo isipokuwa Mkutano Mkuu wa Taifa wenyewe. Mkutano Mkuu wa Taifa haukutoa azimio maalum kwamba endapo Mgombea wetu hatafanya kampeni basi viongozi wa kitaifa wamuunge mkono Mgombea wa Chama kingine.

2.2 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(3) na (4) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyorekebishwa na Sheria ya Marekebisho, G.N. 1 ya 2019 Mkutano Mkuu na Kamati Kuu wa/ya Chama cha siasa HAZIRUHUSIWI kukasimisha madaraka yake ya msingi (core functions) kwa chombo kingine chochote. Kifungu hicho kinasomeka hivi;

A political party general meeting and national executive committee or any similar organ shall not delegate their core functions prescribed in the party constitution

For the purpose of subsection (3), core functions means-

(a) in the case of the party national general meeting, be enactment and amendment of party constitution, election of party national chairman, deputy national chairman and nomination of presidential candidate..


2.3
Maelezo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwamba Kamati ya Uongozi iliketi na kuamua kwamba Chama kimuunge mkono Mgombea mwingine wakati tuna mgombea wetu ni upotoshaji kwani maamuzi hayo yanapaswa kutolewa na Mkutano Mkuu wa Taifa na sio Kamati ya Uongozi au chombo kingine chochote.

2.4 Kitendo cha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kutoa matamko hadharani kwamba wanamuunga mkono Ndugu Tundu Antipas Lissu ambaye ni Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni ukiukwaji wa dhahiri wa Katiba ya Chama cha ACT Wazalendo.

Ushahidi wa kauli aliyotoa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad unapatikana:

chini ya kichwa cha habari “MAALIM AMVAA MEMBE, JPM ATOA DARASA LA USHINDI CCM”.

Pia, habari inayomwonyesha Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad akiwa anamnadi Ndugu Tundu Antipas Lissu inapatikana:

.


Tarehe 16/10/2020 Ndugu Zitto Zuberi Kabwe alitoa na kusambaza Tamko lenye kichwa cha habari, “Nitampigia Kura Tundu Lissu ili Awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”.

3.0 UTEUZI WA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA ACT WAZALENDO
3.1 Ndugu Msajili
, mamlaka ya kumteua Mgombea wa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Ibara ya 72(1)(f) ya Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho ambao hufanyika mara moja kila baada ya miezi sitini.

3.2 Ndugu Msajili, kama ilivyoelezwa hapo juu, Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kupitia Mkutano Mkuu wake kilimteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bernard Membe bado ni Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo. Mgombea huyu hajajitoa kwenye uchaguzi huu.

3.3 Ndugu Msajili,
vilevile Chama Cha ACT Wazalendo hakijatoa taarifa yoyote kwa Tume ya Uchaguzi kujiondoa kumpendekeza Ndugu Bernard Membe kama Mgombea. Bado Ndugu Bernard Membe amependekezwa na Chama cha ACT Wazalendo.

4.0 UKOMO WA UANACHAMA WA ACT WAZALENDO
4.1 Ndugu Msajili,
imeelezwa hapo juu kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) ya 2015, Toleo la 2020 Ibara ya 13(1)(iv) mwanachama atakoma kuwa mwanachama ikiwa atapoteza sifa za uanachama kama zilivyoainishwa kwenye Katiba yetu.

4.2 Ndugu Msajili, Ibara ya 13(4) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya 2015, Toleo la 2020 imevunjwa na Ndugu Maalim Seif Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kwa makusudi. Hakuna Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika au uwepo wa Maazimio Maalum yaliyofanywa na Mkutano Mkuu wa Taifa uliomteua Ndugu Bernard Membe kuwa Mgombea kwamba wanachama wanaruhusiwa kukisaidia au kumsaidia, kushawishi, kujiunga, kutoa tamko la kuunga mkono chama kingine au mgombea wakati Chama kimeweka mgombea kwenye uchaguzi wowote kwa mujibu wa Sheria ya Nchi.

4.3 Ndugu Msajili,
vitendo vya Ndugu Zitto Zuberi Kabwe na Maalim Seif Hamad ni ukiukaji wa Katiba ya ACT Wazalendo na matokeo yake kwa mujibu wa Ibara ya 13(4) ya Katiba yetu ni kukoma kwa uanachama.

5.0 UTARATIBU WA USHIRIKIANO WA KISIASA (COALITION) KATI YA VYAMA VYA SIASA VILIVYOSAJILIWA.
5.1 Ndugu Msajili,
Sheria ya Vyama vya Siasa inaruhusu vyama kushirikiana kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa. Hata hivyo Ndugu Zitto Zuberi Kabwe tarehe 16/10/2020 alishutumu ofisi yako kwa kutamka maneno yafuatayo, “kutokana na uwepo wa sheria kandamizi ya Vyama vya Siasa ushirikiano wa kisheria tumeona hauna maana kwetu kama Chama kwani Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani”.

5.2 Ndugu Msajili,
ni wazi kwamba ofisi yako haina mamlaka ya kuidhinisha au kutoidhinisha Mkataba wa Ushirikiano (Coalition Agreement) baina ya Vyama vya Siasa. Kwa sababu hiyo madai kwamba Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuindoa CCM madarakani” hayakuwa na msingi wowote ila yalilenga kuhalalisha uvunjifu wa Katiba yetu ya ACT Wazalendo kama ilivyojidhihirisha.

5.3 Ndugu Msajili, maamuzi ya ushirikiano na vyama vingine vya siasa ikiwa ni pamoja na kuunganisha Chama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo ni moja ya maamuzi muhimu ambao lazima ufanywe na Mkutano Mkuu wa Taifa na chombo hicho hakiwezi kukasimisha madaraka hayo kwa chombo kingine bila kufuata utaratibu uliwekwa na Katiba yetu.

5.4 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa Ibara ya 18(i) ya Katiba ya ACT Wazalendo Kamati ya Uongozi ya kila ngazi au Kamati Kuu Taifa zinaweza kukasimu baadhi ya madaraka kwa Sekretarieti yake kwa azimio la wingi wa kura za wajumbe wa kikao. Mkutano Mkuu unaweza kukasimu kwa Halmashauri Kuu baadhi ya madaraka yake, lakini kwa azimio maalumu kwa ajili hiyo. Lazima kuwe na Azimio Maalum.

6.0 MAMLAKA YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
6.1
Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo mwanachama yeyote anayekiuka Katiba hiyo anaweza kufukuzwa au kupewa adhabu nyingine kama onyo au karipio. Mwanachama ambaye anakosa sifa ya uanachama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo uanachama wake UNAKOMA.

6.2 Ndugu Maalif Seif Shariff Hamad
na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe wote wamekosa sifa za uanachama wa ACT Wazalendo hivyo sio wanachama wala viongozi wetu.

6.3 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa kifungu cha 6A(2) cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 kama ilivyofanyiwa marekebisho, Vyama vyote vya Siasa vinapaswa kuongozwa na kusimamia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Katiba ya Zanzibar, Katiba za Vyama hivyo na misingi ya Demokrasia na Utawala Bora. iliyo chini ya uangalizi wako.

6.4 Ndugu Msajili, kutokana na ukiukwaji wa wazi wa Katiba ya ACT Wazalendo na hivyo Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe uanachama wao KUKOMA, unayo mamlaka chini sheria ya Vyama vya Siasa, 1992 vifungu vya 5(a) na 5B(1) kama msimamizi wa sheria hiyo na utekelezaji wake wa jumla. Chini ya Sheria hiyo ya Vyama vya Siasa, vifungu vya 8(C)(1) & (2), unaweza kuitisha rejesta (register) ya majina ya viongozi na wanachama wa ACT Wazalendo na kuhakikisha kwamba majina yao yameondolea kwani wamekosa sifa za uanachama.

HITIMISHO:

Ndugu Msajili,
suala la ukomo wa uanachama wa Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad na Ndugu Zitto Zuberi Kabwe sio suala la wanachama wa ACT Wazalendo pekee. Suala hili linamhusu mtu yeyote ambae ni raia wa Tanzania na haswa mpiga kura kwani wawili hawa ni wagombea na viongozi wa juu ndani ya Chama chetu. Kitendo chao cha kukiuka Katiba yao kwa kushawishi wapiga kura kumchagua mgombea mwingine wakati Chama chetu kina Mgombea kwa mujibu wa sheria za nchi kimeleta sintofahamu ndani ya Chama kwani;

kimesababisha baadhi ya wagombea wetu kukosa kuungwa mkono kwa sababu tunaonekana hatuna msimamo,

wagombea wengi wa udiwani na ubunge ambao walijitoa kwa hali na mali na kuingia gharama kubwa kujiandaa na uchaguzi wamevunjika moyo sana kwa kauli za viongozi hao.

Kauli zao zitawasababisha baadhi ya wapiga kura wasusie kupiga kura kwa Mgombea wetu, Ndugu Bernard Membe, kwa kuamini hata shinda kwani tayari hata Chama chake hakimuungi mkono hivyo ni kuwanyima haki yao ya msingi ya kuchagua.


Chama chetu kimekuwa kikijipambanua kusimamia misingi ya utawala bora na uwazi lakini kwa kitendo ambacho kimefanywa na viongozi hawa wakuu ni wazi kabisa kwa makusudi wameamua kuachana na misingi hiyo kwa maslahi yao binafis ya kutafuta uongozi kwa njia yoyote. Hii sio demokrasia tunayoipigania na matokeo yake ni kuvuruga Chama, wanachama na viongozi kwa ujumla. Ni matarajio yetu kwamba suala hili utalipa uzito unaostahili na kulifanyia kazi kwa haraka.

Tunaomba kuwasilisha kwako,

Crytus Adrian Kabete (Kadi Na. 1010540) na
Nasma Ramadhan Assedy (Kadi Na. 1008440)

Nakala:


Mwenyekiti,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC),
Dodoma.

Mwenyekiti,
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Zanzibar.

Mwanasheria Mkuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dodoma.


Mwanasheria Mkuu, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,
Zanzibar.

Lumumba hoi bin taabani mwaka huu mnalo
 
Yaani wapinzani hatuamini kama mnaweza kufanya haya kutugawa dakika za mwisho....
 
Mbona mko wengi kama kuanzisha chama ni kitu chepesi nanyi si muanzishe chenu - mnaanza kuvaa viatu vya Lipumba
 
Back
Top Bottom