Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,494
- 17,370
Kwa wenye vyombo vya usafiri wa jumuia...dala dala na malori kuna utapeli mpya umeibuka hasa Dar,wanawafuata ma dereva na kuwaomba no ya wamiliki,wanakutafuta na kukuomba kukutana wanakupa "deal" kuwa kuna kampuni moja inatafuta usafiri wa wafanyakazi......wamependa bus/buses zako zitumike nao sasa wanaomba muongee nao waweke chao juu.....
baada hapo watakupa docs kibao zote fake,watataka uwalipe fees za tender kama 500$.wanakupeleka nyumbani kwa mmoja wao ndio mtakapoongea hizo deal fake.
kesho yake watakutafuta tena wanakuambia kuna mwenzao ambae company secretary anataka apoozwe kama 3-5m ili pesa zako zipite fasta (wanaambatana na mhasibu wao) ambae ataku piga sound kuwa yeye ndio ana process malipo,,.......ukiwaambia kwa nini alipwe kabla si asubiri deal likamilike?wanaanza kurudi nyuma na kuona kama umewastukia........
wastukieni sana na waambie wengine hawa jamaa ni hatari sana.....mimi nimempeleka rafiki yangu tukastukiaa mchezo mzima....tuliwawekea mtego wa polisi wamestuka wakakimbia....wengi wanakaa maeneo ya mtoni,mtongani na tandika
baada hapo watakupa docs kibao zote fake,watataka uwalipe fees za tender kama 500$.wanakupeleka nyumbani kwa mmoja wao ndio mtakapoongea hizo deal fake.
kesho yake watakutafuta tena wanakuambia kuna mwenzao ambae company secretary anataka apoozwe kama 3-5m ili pesa zako zipite fasta (wanaambatana na mhasibu wao) ambae ataku piga sound kuwa yeye ndio ana process malipo,,.......ukiwaambia kwa nini alipwe kabla si asubiri deal likamilike?wanaanza kurudi nyuma na kuona kama umewastukia........
wastukieni sana na waambie wengine hawa jamaa ni hatari sana.....mimi nimempeleka rafiki yangu tukastukiaa mchezo mzima....tuliwawekea mtego wa polisi wamestuka wakakimbia....wengi wanakaa maeneo ya mtoni,mtongani na tandika