Am tired with your nonsense arguments...ha ha ha ha..mimi wala sina hata hako 'kajumba',nilikuwa nakujambisha nikusaidie upumue hizo chuki zako za kindezi
...funzajike wewe!
Hili unalolisema ndio utaratibu uliopo sasa,sheria inakuja kurefute huu utaratibu,unadhani kila mtu angekuwa anaishi kwa jinsi anavyojiskia ingekuaje,only the strong one would surviveMIMI NATAKA MIEZI MINNE AU SITA NI MAELEWANO KATI YA MIMI NA WEWE UKITAKA PANGA HUTAKI SEPA WEWE NDIO UNA SHIDA SIO MIMI
Will it help you? Kama you are irrational ndo utafanya hivyo,,even purpose ya kujenga unakuwa huijui.Nyumba ajenge kwa jasho lake halafu umpangie Tozo huu ni ukandamizaji kama ni nyumba yangu bora waishi mende too much
Ila tambua mia ya mia utalipa wewe mpangaji kwa njia moja au nyingne shabikia tu suburini unafkr tutakosa mbinu mpya ya kujazia hilo pengo la pesa waliochukua kama kodi?kama vip na nyie jengeni za kwenu au mkakae za NHC"Hatujadili manunuzi ya building materials au labour charge. Tunajadili uanzishwaji wa mamlaka ya udhibiti wa bei ya nyumba za kupanga kwa manufaa ya mwenye nyumba, mpangaji na serikali."
sawa kabisa demand lazima iwe kubwa na supply kupungua then bei inapandaDemand ndio itaongea, serikali inatafuta kodi tu, hawana lingine, wapangaji ndio wataumia, narudia, DEMAND ndio msemaji na mwamuzi mkuu.
tupo mkuu tunatafakariHumu hamna wapangaji wenzangu tujadili? Naona wenye nyumba tu wanaonesha ubinafsi.
sasa mbona wenye nyumba wote mnataka kufuga kuku??Nijenge mwenyewe kwa Shida na pesa za kusimangwa na waajiri na mabenki then aje mla vya bure anipangie bei plus kulipa kodi si bora nifugiemo kuku wa kisasa? Wapangaji wenyew tunavumiliana mambo mengi.
Kaenda kujenga Airport sijuwi vitu gani...Halafu anakuja kupangia watu jinsi ya kutumia pesa zao!Sawa bana. Ukitaka raha nunua au jenga ya kwako. Hapo utasubiri sana. Kweli ww jamaa una akili za kushikiwa. Haya subiria serikali yako ikusaidie kupanga. Nyumba yangu halafu nipangiwe na mtu. Ha ha ha Sasa nafugia kuku na bata tuone nani mjanja sasa. Ha ha ha ha ha ha ha ha
Nyumba nafugia kuku na bata, nenda ukanishitaki kwa serikali yako nimekataa kukupangisha. Ha ha ha ha
Huyo jamaa anayekudanganya jinga sana, si ndiyo yule hela ya wathirika wa kagera akakimbia nayo, wananchi wakajenga nyumba za wenyew huku serikali yako ikasema itajenga shule na hospitali? Ha ha ha ha ha
Sasa tuone nani miliki wa nyumba kati yangu au serikali yako. Ha ha ha ha
Kuna watu wana akili mbovu sana. Bado mnadanganywa tu? Vipi ada ekekezi kwa shule binafsi si mlikuwa mnakata mauno yameishia wapi? Ha ha ha ha ha
Haiwezi fanya hivyo manake watakua wanapunguza kodi yao bei ikipanda ndio faida kwa serikali manake wanapata more kodiHakuna kitu kama hicho,kama soko lisiporegulate serikali Itaweka ukomo wa bei,nimeeleza hapo juu
Katika uchumi wa soko hakuna kitu kama hicho. Serikali inapaswa kuwa makini sana kwenye sera na hatua zinazogusa sekta ya nyumba kwani kuna hatari ya kupunguza kasi ya ujenzi mijini kutokana na udhibiti usiokuwa na tija. Kuna uhaba mkubwa wa nyumba za makazi mijini na vijijini. Makazi mengi ya watanzania ni duni sana hivyo kuna haja ya kuweka mkakati wa kuwavutia wenye uwezo kuendelea kujenga nyumba hasa mijini ili kodi ipungue yenyewe ikiwemo pia masharti ya upangishaji. Mwaka 2005 Rais Mkapa alifuta sheria iliyokuwepo ya Udhibiti wa Kodi za Nyumba ya mwaka 1984 (The Rent Restriction Act - RRA ) baada kuonekana kuwa kikwazo hata kwa NHC ambalo ni shirika la Umma. Matokeo ya kufutwa kwa sheria hiyo ndiyo haya mnayoona sasa wapangaji wanaweza kutimuliwa kwenye nyumba za NHC wanapochelewesha kodi hata kwa siku 30. Zamani RRA iliwakingia kifua na walikuwa wakikaa hata miaka 3 bila kulipa kodi na kusabibisha shirika kushindwa kujenga nyumba zaidi. Sasa leo hii 2018 sheria kama hiyo inahitajika kweli? Labda kwa kiki za kisiasa zaidi.
mkuu wewe mpangaji huwezi shindana na mwenye nyumba ni shidaa tu utapataKwan mwenyekiti ndio yuko juu ya sheria
Ukiwa jeuri unaweza si unajua lazima nijitutumuemkuu wewe mpangaji huwezi shindana na mwenye nyumba ni shidaa tu utapata