Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,043
- 158,736
Sijawahi kuexperience hilo.Hata mabint wanafanyiwa hvo?
Lakini pia huwezi kufananisha mabinti na wanaume katika hili maana angalau sie huwa tuna ile soni ya kuzaliwa, sio rahisi kubadili badili wanaume kila siku unapoishi.
Tofauti na nyie ambao huwa mnafikia hatua hadi ya kuazimana room na washikaji kwaajili ya kufanyia uzinzi