commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
kwa mujibu wa TBC,watu wanne wmefikishwa mahakamani kutokana na ajali ya meli mv spice,swali kubwa hapa je mbona hakuna afisa yeyote wa fordha,sumatra na wengine wote ambao kwa ujumla wanawajibika na taratibu za meli kutia nanga na kun'goa nanga.hii ikiwa ni pamoja na afisa mkuu wa bandari?..je wadau hii imekaaje? nawakilish!