Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,253
- 6,889
Kila baada ya masaa manne upumzike Dar Bukoba utafika baada ya siku ngapi?Mabasi yote ya safari ndefu yawe na vyoo vya ndani, pia kisheria baada ya masaa manne matano kupumzika iwe lazima. Hiyo itamsaidia dereva kupumzika kidogo na kupunguza ajali zinazosababishwa na uchovu.