mushongokle
Member
- Sep 23, 2014
- 95
- 113
Wamiliki wa Dar Lux jitahidini kuyafanyia mabus yenu service. Leo bus lenu namba T345 DNX, hili bus la Kutoka Mwanza kwenda DSM limetusababishia na kutuharibia ratiba.
Tangu tunaanza Safari saa 12 katika ofisi zenu gari lilianza kusumbua mpaka muda huu saa nne usiku tumekwama hapa Kongwa; gari linasumbua hakuna suluhisho lolote hakuna basi mbadala.
Hii sio sahihi kabisa; unasababisha hasara na usumbufu sana.
Tangu tunaanza Safari saa 12 katika ofisi zenu gari lilianza kusumbua mpaka muda huu saa nne usiku tumekwama hapa Kongwa; gari linasumbua hakuna suluhisho lolote hakuna basi mbadala.
Hii sio sahihi kabisa; unasababisha hasara na usumbufu sana.