Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,129
- 4,469
Hili swali nimekuwa najiuliza kuhusu hii biashara ya online market Tanzania baada kupatana kuingia kwenye hii biashara kuna vijana wengi nao wakaingia huku wengi zaidi kuishindwa hii biashara ukiingia huko playstore utajionea wewe mwenyewe wengi 'wamedondokea pua'
Tuachanae na hilo nachojiuliza mimi hawa Kupatana na Zoomtanzania pamoja nakufanikisha wazo hili wanapataje faida sababu naona gharama wanazotumia kufanya matangazo yao ni kubwa kuliko faida.
Je, na wao ni madalali?
Tuachanae na hilo nachojiuliza mimi hawa Kupatana na Zoomtanzania pamoja nakufanikisha wazo hili wanapataje faida sababu naona gharama wanazotumia kufanya matangazo yao ni kubwa kuliko faida.
Je, na wao ni madalali?