nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Jamani habari za mchana,habari ya KAGODA imeshia wapi? sijasikia serikali kuwakamata watuhumia zaidi ya kusikia mtoa ushahidi kuhojiwa,je kuna progress yoyote katika hii kesi?naomba kujua maana hakuna kitu kilichonifurahisha kama alichokifanya MSEMAKWELI