pascal luoga
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 232
- 257
Habari za leo ndugu wana j-forums
Kwanza kabisa niende kama kichwa cha habari kinavyosema 'wamiliki wa iphine storeS'
Nimekuwa ni mfanya biashara wa mda mref sana hizi za online market kwa kuagiza bidhaa tofaut tofaut. Mfano saa, cases, and other accesories kwa kuagiza ali express, na kwenye other online shipping malls.
SWALI
Ndugu zangu wauzaji wa iphone,samsang (huwa ni zaidi) na zinginezo pale makumbusho, sinza n.k, huwa mizigo mnaagizia wapi au wanaagizia wapi??? Ama ni kusafiri mwenyewe mpaka nje na kununua na na kuzileta TZ ??
Maana napenda sana hii biashara sababu vtu vngi huwa ni genuine (original) ukijumuisha phones,cases,watches n.k
Note.
Napenda kufahamu zaidi jinsi wanapotolea mizigo..
Yangu hayo tu wakuu...AHSANTENI
Kwanza kabisa niende kama kichwa cha habari kinavyosema 'wamiliki wa iphine storeS'
Nimekuwa ni mfanya biashara wa mda mref sana hizi za online market kwa kuagiza bidhaa tofaut tofaut. Mfano saa, cases, and other accesories kwa kuagiza ali express, na kwenye other online shipping malls.
SWALI
Ndugu zangu wauzaji wa iphone,samsang (huwa ni zaidi) na zinginezo pale makumbusho, sinza n.k, huwa mizigo mnaagizia wapi au wanaagizia wapi??? Ama ni kusafiri mwenyewe mpaka nje na kununua na na kuzileta TZ ??
Maana napenda sana hii biashara sababu vtu vngi huwa ni genuine (original) ukijumuisha phones,cases,watches n.k
Note.
Napenda kufahamu zaidi jinsi wanapotolea mizigo..
Yangu hayo tu wakuu...AHSANTENI