MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,131
- 3,912
Nimeona majengo mengi maeneo ya Posta yakiwa tupu hayana wapangaji yale ya NHC na watu binafsi kwa sababu kuu hizi nilizoziona;
1.Serikali kuhamia Dodoma hili kila mtu analijua
2."Old buildings" Majengo mengi yamekuwa chakavu ya miaka mingi hakuna renovation, Yanavuja (unatembea na mwavuli ndani ya ghorofa), umeme kukatika kila wakati na elevators mbovu.
3. Parking imekuwa janga kubwa sana.
4. Ongezeko la wilaya mbili Ubungo na Kigamboni
5. New buildings za Bagamoyo Road wengine huita "Silicon valley" ya Tanzania ambapo makampuni mengi ya IT na simu yamejichimbia huko.
6. Kila mtu Posta notion inaanza kupotea. Maana siku hizi watu binafsi na serikali wanawekeza nje ya Posta kama matawi ya banks, hospitals, na shopping malls.
7. Technology: E-business imefanya watu wasione umuhimu wa kurun premises ili watu waone bidhaa au wakutane.Tigo pesa M-pesa, Jumia, Alibaba, Kupatana, Simbanking.
Nini kifanyike?
i) Wamiliki wa majengo Posta punguzeni kodi. Nani aje kupanga jengo lina giza na ukungu kibao halafu unamtoza kwa dollars kadhaa kwa square metres na ni miezi sita Hadi mwaka.
ii) Modify majengo wekeni parking ground floor. (I am not engineer). Ili kuvutia wateja.
iii) Pangisheni makazi si lazima ofisi. Piga luku za kutosha kama jengo lina storeys 5 haina haja ya elevators. Msiweke bei za apartment za kutosha hela ya kawaida ya class flani. Chini mnaweka warden wa kusimamia.
iv) Ingieni ubia watu wamiliki vyumba au storeys.
v) OSHA na Fire brigade haya majengo hasa ya NHC hayana safety yaangaliwe. Unaweza kuta yana entry/exit moja na hakuna assembly point.
vi) Vunja vyumba tengenezeni kumbi watu wafanye sherehe na mikutano.
vii) Weka automatic back up generator
NB: Kuna majengo yale ya kabla ya Uhuru ni hazina naona yaendelee kuwepo.
Karibuni.
1.Serikali kuhamia Dodoma hili kila mtu analijua
2."Old buildings" Majengo mengi yamekuwa chakavu ya miaka mingi hakuna renovation, Yanavuja (unatembea na mwavuli ndani ya ghorofa), umeme kukatika kila wakati na elevators mbovu.
3. Parking imekuwa janga kubwa sana.
4. Ongezeko la wilaya mbili Ubungo na Kigamboni
5. New buildings za Bagamoyo Road wengine huita "Silicon valley" ya Tanzania ambapo makampuni mengi ya IT na simu yamejichimbia huko.
6. Kila mtu Posta notion inaanza kupotea. Maana siku hizi watu binafsi na serikali wanawekeza nje ya Posta kama matawi ya banks, hospitals, na shopping malls.
7. Technology: E-business imefanya watu wasione umuhimu wa kurun premises ili watu waone bidhaa au wakutane.Tigo pesa M-pesa, Jumia, Alibaba, Kupatana, Simbanking.
Nini kifanyike?
i) Wamiliki wa majengo Posta punguzeni kodi. Nani aje kupanga jengo lina giza na ukungu kibao halafu unamtoza kwa dollars kadhaa kwa square metres na ni miezi sita Hadi mwaka.
ii) Modify majengo wekeni parking ground floor. (I am not engineer). Ili kuvutia wateja.
iii) Pangisheni makazi si lazima ofisi. Piga luku za kutosha kama jengo lina storeys 5 haina haja ya elevators. Msiweke bei za apartment za kutosha hela ya kawaida ya class flani. Chini mnaweka warden wa kusimamia.
iv) Ingieni ubia watu wamiliki vyumba au storeys.
v) OSHA na Fire brigade haya majengo hasa ya NHC hayana safety yaangaliwe. Unaweza kuta yana entry/exit moja na hakuna assembly point.
vi) Vunja vyumba tengenezeni kumbi watu wafanye sherehe na mikutano.
vii) Weka automatic back up generator
NB: Kuna majengo yale ya kabla ya Uhuru ni hazina naona yaendelee kuwepo.
Karibuni.