Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,846
- 16,740
Hiii haiingii akilini, hata kidogo...
Alafu kuna mijitu bado inashangilia CCM... ingekuwa watanzania wana kumbu kumbu kidogo tu, WALA UKAWA HAWAPIGI kampeni, wanashinda tu..!!!!
Ndio maana, UKAWA wanasema, priority yao ya kwanza ni
1: ELIMU.....
2: ELIMU...
3: ELIMU...
nani BUREEEEE na BORAAAAAA.... upewe nini tenaaaaa....!!!👇👇👇👇
Sbb CCM they invested much ktk UJINGA wa watu, so ni RAHISI kuwatawala, as well hawatakuwa na memory ya matukio YANAYOWAFANYA WAO MASKINI WA KUTUPA, inayofanywa na CCM...
Escrow, EPA, meremeta, kiwira, tembo wamemalizwa, twiga apandishwa ndege, Boat fake ya Magufuli, Nyumba za Serikali, Meli ya Samaki ya Magufuli, RICHMOND, RADAR, MIKATABA HATARI YA GESI, bandari wizi wa kutisha kukwepa kodi, MIKATABA YA MADINI, KATIBA MPYA kuchakachuliwa, Mama ntilie kupigwa kama mbwa, machinga kufukuzwa fukuzwa kama vibaka, waalimu kudai madai halali ya madeni yao, boda boda kufukuzwa hovyo, wana VYUO kukosa mikopo wengi kuacha vyuo, madawa kukosekana hospitali, wazazi kukaa chini hospitalini, wanafunzi kukaa chini ktk primaries nyingi, WIZARA YA UCHUKUZI KUDAIWA tshs. 1.4 trillions na wakandarasi..how..? DENI LA TAIFA LA KUTISHA...!!! Albino kuuawa hovyo...!! Wakulima na Wafugaji kuuana hovyo...!!!
Sasa, watanzania wengi wana akili ngumu sana sanaaa...
Huu uchaguzi, INGEKUWA UKAWA wanashinda asubuhi, wala hakuna cha nini wala nini...!!! hayo madhambi yanatosha kuwaadhibi CCM kwa KUPIGIA KURA UKAWA...
UKAWA, ndio UKOMBOZI WETU...
Amkeniiiiiiiii..... acheni kulalaa..!!!
Chagua Lowassa, UKAWA... mpango wa Mungu..!!!
Alafu kuna mijitu bado inashangilia CCM... ingekuwa watanzania wana kumbu kumbu kidogo tu, WALA UKAWA HAWAPIGI kampeni, wanashinda tu..!!!!
Ndio maana, UKAWA wanasema, priority yao ya kwanza ni
1: ELIMU.....
2: ELIMU...
3: ELIMU...
nani BUREEEEE na BORAAAAAA.... upewe nini tenaaaaa....!!!👇👇👇👇
Sbb CCM they invested much ktk UJINGA wa watu, so ni RAHISI kuwatawala, as well hawatakuwa na memory ya matukio YANAYOWAFANYA WAO MASKINI WA KUTUPA, inayofanywa na CCM...
Escrow, EPA, meremeta, kiwira, tembo wamemalizwa, twiga apandishwa ndege, Boat fake ya Magufuli, Nyumba za Serikali, Meli ya Samaki ya Magufuli, RICHMOND, RADAR, MIKATABA HATARI YA GESI, bandari wizi wa kutisha kukwepa kodi, MIKATABA YA MADINI, KATIBA MPYA kuchakachuliwa, Mama ntilie kupigwa kama mbwa, machinga kufukuzwa fukuzwa kama vibaka, waalimu kudai madai halali ya madeni yao, boda boda kufukuzwa hovyo, wana VYUO kukosa mikopo wengi kuacha vyuo, madawa kukosekana hospitali, wazazi kukaa chini hospitalini, wanafunzi kukaa chini ktk primaries nyingi, WIZARA YA UCHUKUZI KUDAIWA tshs. 1.4 trillions na wakandarasi..how..? DENI LA TAIFA LA KUTISHA...!!! Albino kuuawa hovyo...!! Wakulima na Wafugaji kuuana hovyo...!!!
Sasa, watanzania wengi wana akili ngumu sana sanaaa...
Huu uchaguzi, INGEKUWA UKAWA wanashinda asubuhi, wala hakuna cha nini wala nini...!!! hayo madhambi yanatosha kuwaadhibi CCM kwa KUPIGIA KURA UKAWA...
UKAWA, ndio UKOMBOZI WETU...
Amkeniiiiiiiii..... acheni kulalaa..!!!
Chagua Lowassa, UKAWA... mpango wa Mungu..!!!