Sijaelewa maana yake ni nini hapa!
Sasa, hawa wazee wako upande gani? Cdm au ccm A? Kama siyoi ni kyasaka na ni mteremko kwa nini cdm wanataka kumuondoa? Wanataka kupambana na kina sarakikya na kaaya ili iweje sasa? Chochote cdm mnachofanya muwe makini kuhusiana na huo uchaguzi. Na kama hao wameru wanaomuwekea siyoi pingamizi ni ccm, basi muwe makini maana mtajikuta mnasaidia ccm
Mkuu, unaandika mwenyewe haya madudu? Hivi kuna haja gani sasa ya kuwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iwapo kuna katiba za nchi nyingine?Simtetei Sioi, lakini nadhani inabidi tujiulize na tuangalie katiba ama sheria za kenya zinasemaje juu ya mtu aliyezaliwa katika ardhi yao huku wazazi wake wote wakiwa sio Raia kama ilivyo kwa Sioi ambaye amezaliwa Kenya lakini wazazi wake sio wakenya. From there tutakuwa na ground nzuri ya ku-judge
Nipo hapa Arumeru nasikilizia mambo yanavyokwenda
Wazee wa Meru na kundi linalodhaniwa kuwa na la KAMBI YA SARAKIKYA na ELISHILIA KAAYA wamesema hakuna ubishi SIOI SUMARI amebebwa kwa nguvu ya hela. Watu wake wengi tu wameshikwa katika kuhusishwa na rushwa kwenye kura ya maoni.
Wazee hao ambao ndio wasemaji wa kundi hilo wamesema haya mara baada ya viongozi wa chadema kumaliza press conference huko usa river na wamewataka viongozi wa chadema wasimlazie damu huyo mtoto wamuwekee pingamizi na wao wako tayari kutoa ushahidi wa rushwa hizo maana ni kweli hela imetembea hakuna ubishi maana hata ndani ya ccm wanajua hivyo.
Wazee wamesema na wameapa kamwe MGENI WA MERU hawezi kuongoza. Wamewataka chadema wakate rufaa haraka atolewe maana kumpambanisha SIOI na Joshua Nassari ni kupoteza muda bure.
mkuuSimtetei Sioi, lakini nadhani inabidi tujiulize na tuangalie katiba ama sheria za kenya zinasemaje juu ya mtu aliyezaliwa katika ardhi yao huku wazazi wake wote wakiwa sio Raia kama ilivyo kwa Sioi ambaye amezaliwa Kenya lakini wazazi wake sio wakenya. From there tutakuwa na ground nzuri ya ku-judge
Leo Mgombea wa CHADEMA Joshua Nasari,amewasilisha pingamizi kwa Mkurugenzi wa uchaguzi,dhidi ya mgombea wa CCM.Pingamizi hilo ni kuhusu uraia wa Sioi,katika fomu zake Sioi aliandika kuwa alizaliwa Thika nchini Kenya.Kwa mujibu wa sheria za uhamiaji kuna urai wa aina tatu,1.Wa kuzaliwa,2.Kujiandikisha,na 3,ni kupata uraia kwa kurithi kwa aliezaliwa nje nchi,na wazazi wote kuwa raia wa Tanzania.Kifungua cha 6 cha sheria ya uhamiaji,kinamtaka aliezaliwa nje ya nchi kuukana nchi aliyozaliwa na kukiri uraia wa Tanzania.
Sioi hakuwahi kuukana uraia huo,kwa mujibu wa barua ya Ofisi ya uhamiaji Arusha,kwenda kwa Mkuu wa mkoa,afisa uhamiaji aliyefahamika kwa jina la Namomba anamtaarifu RC kuwa wao kama uhamiaji hawana taarifa wala rekodi yeyote ya Sioi kuukana uraia wa Kenya
Simtetei Sioi, lakini nadhani inabidi tujiulize na tuangalie katiba ama sheria za kenya zinasemaje juu ya mtu aliyezaliwa katika ardhi yao huku wazazi wake wote wakiwa sio Raia kama ilivyo kwa Sioi ambaye amezaliwa Kenya lakini wazazi wake sio wakenya. From there tutakuwa na ground nzuri ya ku-judge