Wazee wa Meru na kundi linalodhaniwa kuwa na la KAMBI YA SARAKIKYA na ELISHILIA KAAYA wamesema hakuna ubishi SIOI SUMARI amebebwa kwa nguvu ya hela. Watu wake wengi tu wameshikwa katika kuhusishwa na rushwa kwenye kura ya maoni.
Wazee hao ambao ndio wasemaji wa kundi hilo wamesema haya mara baada ya viongozi wa chadema kumaliza press conference huko usa river na wamewataka viongozi wa chadema wasimlazie damu huyo mtoto wamuwekee pingamizi na wao wako tayari kutoa ushahidi wa rushwa hizo maana ni kweli hela imetembea hakuna ubishi maana hata ndani ya ccm wanajua hivyo.
Wazee wamesema na wameapa kamwe MGENI WA MERU hawezi kuongoza. Wamewataka chadema wakate rufaa haraka atolewe maana kumpambanisha SIOI na Joshua Nassari ni kupoteza muda bure.
Wazee hao ambao ndio wasemaji wa kundi hilo wamesema haya mara baada ya viongozi wa chadema kumaliza press conference huko usa river na wamewataka viongozi wa chadema wasimlazie damu huyo mtoto wamuwekee pingamizi na wao wako tayari kutoa ushahidi wa rushwa hizo maana ni kweli hela imetembea hakuna ubishi maana hata ndani ya ccm wanajua hivyo.
Wazee wamesema na wameapa kamwe MGENI WA MERU hawezi kuongoza. Wamewataka chadema wakate rufaa haraka atolewe maana kumpambanisha SIOI na Joshua Nassari ni kupoteza muda bure.