Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,321
Katika maisha kuna mambo yakikusibu hata uwe tajiri na mwenye uwezo wa kupata kila kitu bado utahitaji msaada wa watu.
Kwa mfano,ukiwa tajiri na bahati mbaya ukifiwa utahitaji kufarijiwa na huwezi kuzika mwenyewe hata kama unamiliki mabilioni bali utahitaji zaidi faraja na pole kutoka kwa jamii wakiwemo hata masikini.
Nasema hivi kwasababu hivi sasa kuna watu wamejisahau wakidhani wataishi milele ila nawaambia kuna siku yatawakuta na badala ya kupata faraja mtaambulia kejeli,kubezwa na kuchekwa kutoka kwa wale mnaowakekjeli leo.
Kuna mtu kaamua kuishi kama kaburu ila nasema siku yakimkuta mtaona hizo comments kutoka kwa jamii maana kwa wengi itakuwa ni sawa na kupoteza mnyama wa kufuga na si mtu.
Wakati mnahuzunika wengi watawakejeli na kiwaambia kiko wapi.
Kwa mfano,ukiwa tajiri na bahati mbaya ukifiwa utahitaji kufarijiwa na huwezi kuzika mwenyewe hata kama unamiliki mabilioni bali utahitaji zaidi faraja na pole kutoka kwa jamii wakiwemo hata masikini.
Nasema hivi kwasababu hivi sasa kuna watu wamejisahau wakidhani wataishi milele ila nawaambia kuna siku yatawakuta na badala ya kupata faraja mtaambulia kejeli,kubezwa na kuchekwa kutoka kwa wale mnaowakekjeli leo.
Kuna mtu kaamua kuishi kama kaburu ila nasema siku yakimkuta mtaona hizo comments kutoka kwa jamii maana kwa wengi itakuwa ni sawa na kupoteza mnyama wa kufuga na si mtu.
Wakati mnahuzunika wengi watawakejeli na kiwaambia kiko wapi.