kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,030
- 1,412
Michael Richard Wambura katika waraka aliousambaza kwa TFF,Mwenyekiti SSC na wajumbe kukubaliana na uteuzi kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Simba amewataka wapenzi na wanachama wa SSC kuwa kitu kimoja "Simba kwanza" - kuifanya Simba kuwa kitu kimoja.
Na sisi tunasema Karibu 'jembe' . Kujikwaa si kuanguka,Wale wasioitakia mema Simba watapoona tunaanza kuungana na kujiaandaa ipasavyo na ngwe ya pili wataanza kuweweseka! Kupambana na Simba isiyo na migogoro kunaogopesha sana asikwambie mtu!! Unaweza kulambwa 5 - 0 hivi hivi unajiona,usibishe waulize ndala watakwambia iyo habari!!!!!
Na sisi tunasema Karibu 'jembe' . Kujikwaa si kuanguka,Wale wasioitakia mema Simba watapoona tunaanza kuungana na kujiaandaa ipasavyo na ngwe ya pili wataanza kuweweseka! Kupambana na Simba isiyo na migogoro kunaogopesha sana asikwambie mtu!! Unaweza kulambwa 5 - 0 hivi hivi unajiona,usibishe waulize ndala watakwambia iyo habari!!!!!