py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Leo mahakama imetoa hukumu ya rufaa aliyokataa Michael Richard Wambura juu ya kufungiwa kwake na kamati ya maadili ya Tff.Mahakama imetoa pingamizi hilo na kumrudisha Wambura kwenye nafasi yake ya zamani ya umakamu wa rais wa Tff.
Turudi nyuma kidogo mwezi june mwaka huu Chama cha soka cha nchini Nigeria Nff kulikuwa na mtarufuku kwenye uongozi ndipo Mr Giwa akaenda mahakama kuu na mahakama kuu ikamtawaza kama rais wa NFF na kumfukuzia mbali Pinnick kisha waziri wa michezo kutoa amri pinnick aondoke.Papo hapo Fifa ikaingilia kati na kutoa onyo kali na kisha ikaomba ipewe maelezo kwanini masuala ya soka yanaenda kuhukumiwa nje na third party kilichotokea huyo waziri akaomba radhi ili wasifungiwe na FIFA.sheria ya Fifa inasema kila mwanachama wa fifa ikitokea any disputes ni haramu na dhambi kubwa kwenda kuyasuluhisha kwenye mahakama za kiraia.
Huyu bwana Giwa mpaka leo hii tarehe 30 Nov yupo kwake tu licha ya mahakama kumpa uongozi NFF na bwana Pinnick anazidi kutesa tu na NFF yake.
Kila federation zina courts zake bwana wambura baada ya kufungiwa na mahakama ya Tff ilibidi akate rufaa hapo au aende CAS.
Pia August mwaka huu rais wa chama cha soka nchini Gambia bwana Lamin Bajo na wenzake walipandishwa kizimbani na mpinzani wao mahakamani .Fifa wakatoa onyo kali na kuwakumbusha Gambia na mahakama hio vifungu vya sheria vya Fifa..naomba mjisomee hapo chini
Namkumbusha bwana Wambura juzi rais wa chama cha soka nchini Spain bwana Villar alifukuzwa na mahakama ya michezo katulia zake sababu anajua sheria ila hawa wa KiAfrika kama huyu wa Gambia na Nigeria walivyokimbilia mahakama za kiraia Fifa wakaingilia na kutoa onyo na mpaka leo hawajagusa kuingia kwenye federation za michezo.
Ina maana Wambura hajui Cas ilipo na hajui kuwa any dispute za uongozi ni mahakama za federation au CAS ndio wenye mamlaka ya kutatua tu.
Wambura namfananisha na bwana Giwa na Maalim seif.Atajikalia kwake soon tu na hio hukumu ya mahakama kama itamrudisha.
Turudi nyuma kidogo mwezi june mwaka huu Chama cha soka cha nchini Nigeria Nff kulikuwa na mtarufuku kwenye uongozi ndipo Mr Giwa akaenda mahakama kuu na mahakama kuu ikamtawaza kama rais wa NFF na kumfukuzia mbali Pinnick kisha waziri wa michezo kutoa amri pinnick aondoke.Papo hapo Fifa ikaingilia kati na kutoa onyo kali na kisha ikaomba ipewe maelezo kwanini masuala ya soka yanaenda kuhukumiwa nje na third party kilichotokea huyo waziri akaomba radhi ili wasifungiwe na FIFA.sheria ya Fifa inasema kila mwanachama wa fifa ikitokea any disputes ni haramu na dhambi kubwa kwenda kuyasuluhisha kwenye mahakama za kiraia.
Huyu bwana Giwa mpaka leo hii tarehe 30 Nov yupo kwake tu licha ya mahakama kumpa uongozi NFF na bwana Pinnick anazidi kutesa tu na NFF yake.
Kila federation zina courts zake bwana wambura baada ya kufungiwa na mahakama ya Tff ilibidi akate rufaa hapo au aende CAS.
Pia August mwaka huu rais wa chama cha soka nchini Gambia bwana Lamin Bajo na wenzake walipandishwa kizimbani na mpinzani wao mahakamani .Fifa wakatoa onyo kali na kuwakumbusha Gambia na mahakama hio vifungu vya sheria vya Fifa..naomba mjisomee hapo chini
Namkumbusha bwana Wambura juzi rais wa chama cha soka nchini Spain bwana Villar alifukuzwa na mahakama ya michezo katulia zake sababu anajua sheria ila hawa wa KiAfrika kama huyu wa Gambia na Nigeria walivyokimbilia mahakama za kiraia Fifa wakaingilia na kutoa onyo na mpaka leo hawajagusa kuingia kwenye federation za michezo.
Ina maana Wambura hajui Cas ilipo na hajui kuwa any dispute za uongozi ni mahakama za federation au CAS ndio wenye mamlaka ya kutatua tu.
Wambura namfananisha na bwana Giwa na Maalim seif.Atajikalia kwake soon tu na hio hukumu ya mahakama kama itamrudisha.