Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,192
- 25,493
Mgombea wa nafasi ya Rais ya Klabu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam,Michael Wambura amewekewa pingamizi dhidi ya ugombea wake.Pingamizi hilo limewekwa na aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Simba,Seydou Rubeya.Rubeya amedai kuwa pingamizi lake linajikita katika hoja ya kwamba Wambura aliwahi kupeleka masuala ya soka mahakamani na pia aliwahi kufisidi TFF.
Mwisho wa mapingamizi ulikuwa leo saa kumi jioni.
Chanzo: Radio One Stereo, Sports
Mwisho wa mapingamizi ulikuwa leo saa kumi jioni.
Chanzo: Radio One Stereo, Sports