Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imethibitisha kumshikilia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Michael Wambura kwa tuhuma za rushwa na leo itamfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
> Wakati huohuo Wambura kupitia kwa wakili wake Emmanuel Muga ametangaza rasmi kuachana na masuala ya soka.
Zaidi>> Michael Wambura afikishwa Mahakamani Kisutu na kusomewa makosa 17 ikiwemo utakatishaji fedha - JamiiForums
> Wakati huohuo Wambura kupitia kwa wakili wake Emmanuel Muga ametangaza rasmi kuachana na masuala ya soka.