Wamatumbi bwana...!

Sijali

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
2,523
1,602
Nimemleta George Bush Bongo....hakuna yeyote anayeweza kufanya hivyo kabla wala baada yangu!
 

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,957
4,630
Nimeileta timu ya Taifa ya Brazil na nikamfata kaka hadi hotel aliyofikia, nikampa zawadi ya kinyago(ingawa ameitupa kwenye dust bin).tena nilienda mimi na my son.
Pia almanusura niilete timu ya Real Madrid.
 

The Dreamer

JF-Expert Member
Feb 2, 2009
1,282
20
Mimi nimekuwa wa kwanza ktk historia ya nchi hii kuchakachua matokeo kupita kiasi cha kistaarabu...mimi ndiyo zaidi
 

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
7,892
1,021
Bwahahahahahahaha si ndio wewe uliyekuwa unazungumza na Obama kwa kusoma lisala uliyoandikiwa na January? kwi kwi kwi kwi
 

Mfamaji

JF-Expert Member
Nov 6, 2007
6,632
1,913
Nilicheza na kupiga pic na boyz two men haaa nani anaweza zaidi yangu
 

matawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2010
2,053
241
Namtafuta anayenilogaga wakati wa uchaguzi 2005 nilianguka mara 2 na 2010 nilianguka mara moja, aah nimesahau ya mwaka huu sijaanguka ni swaumu
 

Shomari

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,112
240
huyu sio mtu wa kuongelea tena. tutafuteni mada nyingine kuhusu kesho:yield:
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom