Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,620
- 218,041
Hii ndio Taarifa mpya kutokana na Sakata la Ngorongoro , ambapo Serikali leo imeamua kuwafungulia Kesi ya mauaji wahanga hao waliogoma kuhama kwa hiyari.
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wamasai hao waliswekwa rumande siku moja kabla ya Uvamizi wa Polisi , na kwamba wakati Askari akipigwa Mshale wao walikuwa tayari selo , inakuwaje wanahusishwa na mauaji hayo?
Tutaweka hapa orodha kamili ya walioshitakiwa kwa mauaji na kama kutakuwa na mashitaka mengine tutayaweka wazi hapa hapa.
Usiondoke.
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wamasai hao waliswekwa rumande siku moja kabla ya Uvamizi wa Polisi , na kwamba wakati Askari akipigwa Mshale wao walikuwa tayari selo , inakuwaje wanahusishwa na mauaji hayo?
Tutaweka hapa orodha kamili ya walioshitakiwa kwa mauaji na kama kutakuwa na mashitaka mengine tutayaweka wazi hapa hapa.
Usiondoke.