Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Ghafla bila kutarajia, nimejikuta naangalia kipindi cha Shajara kupitia TBC1, kilichokuwa kinaongelea ngoma ya kabila la Wamasaia inayoitwa esotho (samahani kama nimekosea neno hilo). Sikuwahi kuisikia hii ngoma na kama nimewaelewa vizuri, ngoma hii inahusisha yafuatayo.
-Ngoma hii wanacheza watoto na vijana kuanzia miaka 8 na kuendelea, na huchezwa kipindi ambacho wanyama wana malisho ya kutosha.
-Lengo lake (sina hakika kama ni rasmi) ni kuwapa nafasi ya kujifunza kufanya ngono!!
-Morani mmoja anaweza kupendwa na wasichana hadi kumi....na wote atafanya nao ngono peke yake...Na kumetolewa ushahidi kwamba kama Morani huyo kapata lishe ya kutosha (maziwa na nyama) anaweza kufanya ngono na wasicha hadi 5 kwa usiku mmoja. Wanajikusanya kwenye boma moja na hawaoneani wivu!
-Msichana alihakikisha anaenda kwenye kundi ambapo mchumba wake hayupo
-Madhara yake kwa ni pamoja na msichana kupata mimba ila kwa siku za karibuni, ngoma hii inaongeza uwezekano wa kuambukizana ukimwi. Inasemekana hakuna matumizi ya kondomu katika ngoma hii!
Inawezekana yapo mengine mengi ila hii ni uthibitisho mwingine kwamba nchi yetu ina utajiri wa tamaduni ambazo tunaweza kuzifanyia mabadiliko chanya na kuzitumie kiuchumi. Bahati mbaya watu wanaangalia baadhi ya tamaduni ambazo zilikuwa na nia nzuri kwa mtazamo hasi!
-Ngoma hii wanacheza watoto na vijana kuanzia miaka 8 na kuendelea, na huchezwa kipindi ambacho wanyama wana malisho ya kutosha.
-Lengo lake (sina hakika kama ni rasmi) ni kuwapa nafasi ya kujifunza kufanya ngono!!
-Morani mmoja anaweza kupendwa na wasichana hadi kumi....na wote atafanya nao ngono peke yake...Na kumetolewa ushahidi kwamba kama Morani huyo kapata lishe ya kutosha (maziwa na nyama) anaweza kufanya ngono na wasicha hadi 5 kwa usiku mmoja. Wanajikusanya kwenye boma moja na hawaoneani wivu!
-Msichana alihakikisha anaenda kwenye kundi ambapo mchumba wake hayupo
-Madhara yake kwa ni pamoja na msichana kupata mimba ila kwa siku za karibuni, ngoma hii inaongeza uwezekano wa kuambukizana ukimwi. Inasemekana hakuna matumizi ya kondomu katika ngoma hii!
Inawezekana yapo mengine mengi ila hii ni uthibitisho mwingine kwamba nchi yetu ina utajiri wa tamaduni ambazo tunaweza kuzifanyia mabadiliko chanya na kuzitumie kiuchumi. Bahati mbaya watu wanaangalia baadhi ya tamaduni ambazo zilikuwa na nia nzuri kwa mtazamo hasi!