BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Unapo muambia mtu ahame lazima umuandalie kwa kumpeleka,moja ya maandalizi ndio hayo.Kweli ni ukiukwaji wa haki mkubwa. Halfu wanaficha na wanafanya propaganda eti wanahama wenyewe .... sasa kama wanahama wenyewe kwa nini huko wanakokwenda wanawajengea nyumba .......!!
Unapoambiwa kuhama mwenyewe inamaana kuitikia wito bila force.