wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
Wakuu hawa watu na wanamiminika bongo kwa wingi.
Ni jambo la kufurahisha sana kuona ndugu zetu wanarudi nyumbani. Lakini pia kuna wadau ambao mnakutana nao na mmeisha tengeneza nao urafiki.
Mnaweza kutuelezea kuwa wakati mkiongea nao huwa wanasema ni nn kimewapelekea kuhama kwa wingi. And why tanzania, na je, wanatambua uwepo wa economic warfare?
Na kama wanatambua wamejiandaa vipi kushirikiana na afrika kufikia target.
Karibuni wakuu
Ni jambo la kufurahisha sana kuona ndugu zetu wanarudi nyumbani. Lakini pia kuna wadau ambao mnakutana nao na mmeisha tengeneza nao urafiki.
Mnaweza kutuelezea kuwa wakati mkiongea nao huwa wanasema ni nn kimewapelekea kuhama kwa wingi. And why tanzania, na je, wanatambua uwepo wa economic warfare?
Na kama wanatambua wamejiandaa vipi kushirikiana na afrika kufikia target.
Karibuni wakuu