wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
Wakuu, leo tugusie hawa watu wanaitwa Wamarekani weusi, hawa jamaa bana wanahistoria ndefu sana na yenye mateso, ila Mungu si athumani pamoja na kupitia mateso yote still wapo wana exist.
Tunajua kwamba wamarekani weusi ni ndugu zetu waliochukiuliwa utumwani miaka 400 iliyopita, waliuzwa kama bidhaa kwa matajiri waliuokua wameweka kambi huko, walifanyishwa kazi usiku na mchana. Kwasababu hawa jamaa waliwekwa kwenye pressure ya Maisha kwa mda mrefu huku wakijaribu kuwa huru, walifanikiwa kujifunza mengi sana, hali hiyo iliwafanya wakomae licha ya kwamba kila walipokua wanajaribu kua free walikua wana kanyagiwa.
Pia wale jamaa wameishi na watesi wao kwa mda mrefu, so wanawajua nje ndani, lakini mnatakiwa mkumbuke kitu kimoja, kinachoendelea kwa wamarekani weusi ndo kilichokua kinaendelea Afrika, ila kwa sababu Afrika majority ni weusi ni ngumu sana kugundua, mara nyingi unaweza ona ni mtu mweusi mwenzako ndo anakuonea, kumbe huyo unae muona ni kibaraka.
So, kwa kifupi, wamarekani weusi wamefika mbali sana kisiasa, wameanza harakati za kupigania uhuru hata kabla ya kina Kwame Nkurumah, Nyerere na Lumumba. ni watu waliokomaa Zaidi katika kuelewa siasa na uchumi unavofanya kazi, kusema kweli, kielimu na kichangamoto, wametuzidi mbali sana, kama tukipima kwa ratio ya asilimia wale jamaa wanaweza kua na ratio ya 100:5, yani wao tunawapa asilimia 100 alafu sisi ni 5 kutoka kwenye mia zao.
Wamarekani weusi ukiwaleta Afrika na kuwapa nafasi za uongozi wanaweza kuibadili Afrika kwa speed kali sana, wana uwezo mkubwa wa kufikiria solution kwa haraka sana na wanauelewa mpana wa dunia inavokwenda. hebu imagine mamtu kama kina Malcom X na Marcus Garvey, yalikua ni mamtu hatari sana, Marcus Garvey huwezi linganisha na Nyerere au Nkurumah, yale majamaa yamefanikiwa katika mazingira magumu sana na yakapata popularity kipindi ambacho kulikua hakuna hata media, imagine mtu kama Marcus Garvey angeishi kipindi cha media, mmh, labda angetawala dunia.
Wale ni ndugu zetu tuwapende na tuwakaribishe, pia tusisahau wazungu kama kina John Brown, sio wazungu wote walipenda ile hali, John Brown ni mwanaharakati wa kizungu aliesalitiwa na mtu mweusi, lengo la John Brown ni kupinga utumwa. It's all about evil and good. Kuna watu weusi pia ni evil vile vile, so msiwe blinded na issue ya rangi japokua rangi pia ni factor sometimes, so umakini ni muhimu.
Tunajua kwamba wamarekani weusi ni ndugu zetu waliochukiuliwa utumwani miaka 400 iliyopita, waliuzwa kama bidhaa kwa matajiri waliuokua wameweka kambi huko, walifanyishwa kazi usiku na mchana. Kwasababu hawa jamaa waliwekwa kwenye pressure ya Maisha kwa mda mrefu huku wakijaribu kuwa huru, walifanikiwa kujifunza mengi sana, hali hiyo iliwafanya wakomae licha ya kwamba kila walipokua wanajaribu kua free walikua wana kanyagiwa.
Pia wale jamaa wameishi na watesi wao kwa mda mrefu, so wanawajua nje ndani, lakini mnatakiwa mkumbuke kitu kimoja, kinachoendelea kwa wamarekani weusi ndo kilichokua kinaendelea Afrika, ila kwa sababu Afrika majority ni weusi ni ngumu sana kugundua, mara nyingi unaweza ona ni mtu mweusi mwenzako ndo anakuonea, kumbe huyo unae muona ni kibaraka.
So, kwa kifupi, wamarekani weusi wamefika mbali sana kisiasa, wameanza harakati za kupigania uhuru hata kabla ya kina Kwame Nkurumah, Nyerere na Lumumba. ni watu waliokomaa Zaidi katika kuelewa siasa na uchumi unavofanya kazi, kusema kweli, kielimu na kichangamoto, wametuzidi mbali sana, kama tukipima kwa ratio ya asilimia wale jamaa wanaweza kua na ratio ya 100:5, yani wao tunawapa asilimia 100 alafu sisi ni 5 kutoka kwenye mia zao.
Wamarekani weusi ukiwaleta Afrika na kuwapa nafasi za uongozi wanaweza kuibadili Afrika kwa speed kali sana, wana uwezo mkubwa wa kufikiria solution kwa haraka sana na wanauelewa mpana wa dunia inavokwenda. hebu imagine mamtu kama kina Malcom X na Marcus Garvey, yalikua ni mamtu hatari sana, Marcus Garvey huwezi linganisha na Nyerere au Nkurumah, yale majamaa yamefanikiwa katika mazingira magumu sana na yakapata popularity kipindi ambacho kulikua hakuna hata media, imagine mtu kama Marcus Garvey angeishi kipindi cha media, mmh, labda angetawala dunia.
Wale ni ndugu zetu tuwapende na tuwakaribishe, pia tusisahau wazungu kama kina John Brown, sio wazungu wote walipenda ile hali, John Brown ni mwanaharakati wa kizungu aliesalitiwa na mtu mweusi, lengo la John Brown ni kupinga utumwa. It's all about evil and good. Kuna watu weusi pia ni evil vile vile, so msiwe blinded na issue ya rangi japokua rangi pia ni factor sometimes, so umakini ni muhimu.