babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,107
- 16,002
naona jamaa wameamua kama noma na iwe noma yani hii inatia kinyaa kabisa na hii ni zaidi ya sodoma na gommorah
nakumbuka juzi uliongelea hili swalaACHA Waoane huko mabarabarani, Mi ningestuka sana endapo wangekuwa kwenye Kanisa la Mungu lenye Msalaba. .............Lakini kamwe hamtazitimiza tamaa za mwili.......(not sure of the verse)
nakumbuka juzi uliongelea hili swala
nna uhakika huo kwani dalili zinajionyesha na mimi nimeanza kutubu ili nielekee ulimwengu wa pili kama itatokeaSi siku nyingi bwana YESU atarudi
yani this people are craaaaazy,sometime nashindwa kuwaelewa black american i,see.sijui ni ununda,ushamba,freedom au vp?WHAT A WASTE!
Mungu kawaumba vizuri kwa kila namna... wanaume waliokamilika.... wanatafuta nini kujiingiza kwenye machukizo ya kutisha hivi?
Mungu ana subira sana na wanadamu.....
yani this people are craaaaazy,sometime nashindwa kuwaelewa black american i,see.sijui ni ununda,ushamba,freedom au vp?
Mimi naamini kabisa na ninavyowaona hawa jamaa walishawahi kuwa wafungwa na wakajifunza huu mchezo huko magerezani. Ukiangalia kipindi cha BBC kinachowahoji wafungwa wa Kimarekani wanasema hukutana magerezani na kufanya huo mchezo mchafu kwa hiyo hata baada ya kutoka gerezani huwa wamenigewa na kuendeleza wakiwa nje.Hao ni ma criminal,hawana ubinadamu.Hawa watu wamechanganyikiwa...hata wale waliooa unakuta wengine wako hivi kwa siri...ni aibu sana kwa watoto na wake zao.Hawa wameamua kuuchuna uso na kujitangaza waziwazi,,, Kichefuchefu kinatokana na jinsi walivyo - mijitu ya miraba halafu inakumbatiana bila haya!
ok kuna hii niliona mahali,lil wyne na baby bash nikadhani wanatania sasa nimepata ukweliMimi naamini kabisa na ninavyowaona hawa jamaa walishawahi kuwa wafungwa na wakajifunza huu mchezo huko magerezani. Ukiangalia kipindi cha BBC kinachowahoji wafungwa wa Kimarekani wanasema hukutana magerezani na kufanya huo mchezo mchafu kwa hiyo hata baada ya kutoka gerezani huwa wamenigewa na kuendeleza wakiwa nje.Hao ni ma criminal,hawana ubinadamu.