Wamarekani Wenye Asili ya Afrika waamua kurejea Nyumbani hasa hasa Tanzania

Hawajakana uraia wa US so wakiona mambo mabaya wanarudi zao kiwanja.
Marekani inaruhusu uraia pacha kwahiyo hawana sababu ya kuukana- kwanini wajifungie milango yao ya biashara. Sisì Tz tupo nyuma sana - nasikia majirani zetu Kenya, Rwanda wanakubali uraia pacha, sijui sisi WaTz tunaogopa nini?
 
Back
Top Bottom