Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Soma post namba 56.Huna uhakika na unachoandika,ingekuwa na uhakika nacho ungeandika uzi humu jamvini,utujuze kabla hata ya uzi huu kuandikwa,nachelea kusema umedandia treni kwa mbele.
Soma post namba 56.Huna uhakika na unachoandika,ingekuwa na uhakika nacho ungeandika uzi humu jamvini,utujuze kabla hata ya uzi huu kuandikwa,nachelea kusema umedandia treni kwa mbele.
Hata sera za uwekezaji wenyewe hazitengenezi mazingira mazuri ya uwekezaji, bora liende tuKuna tozo na mikopo.
Marekani inaruhusu uraia pacha kwahiyo hawana sababu ya kuukana- kwanini wajifungie milango yao ya biashara. Sisì Tz tupo nyuma sana - nasikia majirani zetu Kenya, Rwanda wanakubali uraia pacha, sijui sisi WaTz tunaogopa nini?Hawajakana uraia wa US so wakiona mambo mabaya wanarudi zao kiwanja.