Sasa kama imehifadhiwa kwenye nyoyo za waja wa marehemu Muhammad mbona wanalalamika kwamba karatasi zimechomwa? Kilicho muhimu ni karatasi au iliyohifadhiwa kwenye nyoyo, kama kweli imehifadhiwa?
Umesahau au kupitiwa na hukumaliza kusoma paragraph ya mwisho katika post yangu. Je unaweza kurudia na kusoma tena ile paragraph??? Jibu lako lipo pale Buchana.