mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Kwanini viongozi wa Afrika wanapenda kujificha nyuma ya Ukiroho?
Hakuna anayebeza maombi ila mipango mbadala baada ya maombi ndiyo tatizo. Mungu anahitaji tufanye jambo huku tukimuomba yeye pia. Mbona swala la njaa hatuambiwi tuombe Mungu tu basi bali mpaka sasa tunasisitizwa kulima sana. Serikali ije na mbinu sahihi zikiambatana na maombi Tunavyopenda...
www.jamiiforums.com
Upinzani have fought their battles, watusubiri mpaka tutakapokuwa tayari
Mzee kaniambia mwanangu subiri uione Tanzania ilivyokuwa kabla ya 1995. I felt the pain in that statement. It seems like tunatoka bad kwenda worse. Hii Demokrasia itatuachia makovu mpaka lini aisee? Kwa hali hii, turudi tu tulipotoka. Tupunguze misongo ya mawazo pamoja na kupunguza gharama.
www.jamiiforums.com
Wamarekani huenda ni wachawi.
Wanawezaje kumtoa RAIS aliyeko madarakani kwa BallotPaper?
Hawajui "kuvishika vyombo vya dola ili kubaki madarakani" waje kwa Bashiru wajifunze kitu gani cha kujisifu kuwa uwe na dola alafu ushindwe kubaki madarakani.
Je, Wanatakiwa kuja kwenye vi-nchi vyetu hivi "kujifunza"! Au vinchi vya afrika wamepotea?
Yaani rais ana
NASA,Homeland,CIA,FBI,POLISI,JESHI na bado anakaa TERM 1 ...inawezekanaje? (Ref kwa Bashiru)
Je Ulaya wana strongly institutions na africa tuna strong people.
Uchaguzi 2020 - Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi...
www.jamiiforums.com