KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Well done!!!Osama ameuwawa je hilo nisuluhisho la kumaliza ugaidi duniani?Kwani ugaidi nizao la marekani juu ya uislam dunia nzima hivyo wa marekani wasibweteke nakushangilia kwa kuuwawa osama,kwani osama alikuwa hajishughulishi ipasavyo kwenye ugaidi kwa sasa kuna damu changa hivyo vikundi vya ugaidi ni vingi!!Wamareka wekeni usawa katika mataifa ya kiarabu