Kabla sijaamua kuwa na nyumba ndogo imenibidi nitumie mbinu zote za kumrekebisha mke wangu ili aachana na mambo yanayosababisha mimi nioe mke mwingine.
Nimejaribu lakini naona anajirekebisha siku mbili halafu anajisahau tena.
Yawezekana wkt wa kuingia kwenye ndoa hakufundwa vizuri.
Sasa naomba mnielekeze kama kuna sehemu wanafundwa wanawake jinsi ya kuihandle familia pia ni jue na gharama ya hiyo huduma. Hata kama milioni nitatoa ili niokoe janga la kuoa mke wa pili
Nimejaribu lakini naona anajirekebisha siku mbili halafu anajisahau tena.
Yawezekana wkt wa kuingia kwenye ndoa hakufundwa vizuri.
Sasa naomba mnielekeze kama kuna sehemu wanafundwa wanawake jinsi ya kuihandle familia pia ni jue na gharama ya hiyo huduma. Hata kama milioni nitatoa ili niokoe janga la kuoa mke wa pili