Ha ha ha makungwi hawanaga ndoa ila kazi yao kufundisha jinsi ya kuishi ndoani ndo ujionee maajabuUyo Halima kishuzi nae ana mume au ndo wale wale wao wanaachika wanawaganga wenzao
Oa housegirl kwisha habari, atajirekebisha mbele kwa mbele hukoInafikia hatua house girl ndio anakuwa kama wife
HUYU WA WAPI SIJAWAI MSIKIAMlete nimpeleke kwa halima kishuzi, wiki moja tu utabebebwa mgongoni....