Wamakonde noma!

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Duhu, mabango!

Mshua hii gesi ni ya wamakonde tafuta ya wakwere
Mh. Kikwete tatizo sio ges mikataba yako noma
Gesi kwanza uhai baadae
Ukiiuaa tunakupeleka the Heg, gesi haitoki
Bandari Bagamoyo, Gesi Bagamoyo, Bandari Bagamoyo, Mtwara wapuuzi?
Gesi ibaki au tugawane inchi.

551845_475483919163992_1224495707_n.jpg
 
Huu sasa upuuzi. Kila yakinguduliwa mafuta au gesi watu wanataka nchi yao. Ajabu watu hao hao wamefaidi raslimali nyingine kama madini na mbuga za wanyama vilivyoko mikoa mingine bila malalamiko. Ingawa tunajua mnasumbuliwa na umaskini na ujinga, tusiendekeze njaa na ujuha wa changu changu chako chetu au chako kitamu changu kichungu. Mtwara hawajanyimwa fursa ya kufaidika na gesi bali ukweli kuwa hakuna miundombinu ya kufanikisha uuzaji wa gesi husika. Ni ajabu kuwa kila mjinga anadhani yakigunduliwa mafuta au gesi basi sehemu yake itageuka Dubai overnight bila hata mipango!
 
Jamaa wameshaanza kutengeneza pinde na mishale, tayari kuwafyatua wazungu mpaka waseme "oh my god"!
 
Huu sasa upuuzi. Kila yakinguduliwa mafuta au gesi watu wanataka nchi yao. Ajabu watu hao hao wamefaidi raslimali nyingine kama madini na mbuga za wanyama vilivyoko mikoa mingine bila malalamiko. Ingawa tunajua mnasumbuliwa na umaskini na ujinga, tusiendekeze njaa na ujuha wa changu changu chako chetu au chako kitamu changu kichungu. Mtwara hawajanyimwa fursa ya kufaidika na gesi bali ukweli kuwa hakuna miundombinu ya kufanikisha uuzaji wa gesi husika. Ni ajabu kuwa kila mjinga anadhani yakigunduliwa mafuta au gesi basi sehemu yake itageuka Dubai overnight bila hata mipango!
Pamoja sana mkuu.
 
sasa nyinyi wa mjini mulituona sisi wamikoani sio, maendeleo mjini, sisi vijijini jembe mjini ofisini leo mtatujua sisi bah sawa kuliko sudan, mulituona washamba sana oh wamachinga sijui wamakonde oh wamahiwa oh machale tunakwenda Msumbiji hatutaki tena Darsalam itakuwa kabirigado mpya ya msumbiji, wale renamo nyinyi hata mlikuwa hamuwajui mtawaona sasa
Huu sasa upuuzi. Kila yakinguduliwa mafuta au gesi watu wanataka nchi yao. Ajabu watu hao hao wamefaidi raslimali nyingine kama madini na mbuga za wanyama vilivyoko mikoa mingine bila malalamiko. Ingawa tunajua mnasumbuliwa na umaskini na ujinga, tusiendekeze njaa na ujuha wa changu changu chako chetu au chako kitamu changu kichungu. Mtwara hawajanyimwa fursa ya kufaidika na gesi bali ukweli kuwa hakuna miundombinu ya kufanikisha uuzaji wa gesi husika. Ni ajabu kuwa kila mjinga anadhani yakigunduliwa mafuta au gesi basi sehemu yake itageuka Dubai overnight bila hata mipango!
 
Na nyie nanyi hamtambuliki! Walipodai Wazanzibari mlio uch i mvi!
huu ni ujinga wa kutupa. kwani mtwara ni ardhi ya wamakonde peke yao? ujinga gani huu, polisi wakiwapiga hata hawa tutawalaumu? kwani hapa dsm gesi si inakuja kwaajili ya kuiongezea thamani ili tupate hela za nchi, hela itakayotumika kwa manufaa ya watz wote including wamakonde? ardhi ni mali ya umma, vilivyoko chini yake si vya wananchi ni vya umma wote, na serikali ndio yenye mamlaka navyo. polisi kamata hao watu wanatuharibia siku. wajinga sana hao.
 
ka kuwa mererani kuna TANZANITE NADHANI NAO WANATAKIWA WAJITENGE ILI WATUMIE TANZANITE YAO. SISI WA MOSHI TUTAJITENGA ILI TUFAIDI PESA YA UTALII WA MLIMA KILIMANJARO.MARA NAO WATATAKIWA WAHAKIKISHE KWAMBA HELA YA SERENGETI WANAKUSANYA WENYEWE;ZAIDI YA HAPO WAPEWE NCHI YAO.MWANZA WANATAKIWA WASIKUBALI MTU AKACHUKUA DAGAA WAO.WENYE DHAHABU WAACHWE WAPUMUE.SI WAPEWE NCHI YAO! UPUUZI MKUBWA! TATIZO WAKATI WENGINE WANAFIKIRI KWA KUTUMIA AKILI WENGINE WANAFIKIRI KWA KUTUMIA 07........
 
Jamaa wameshaanza kutengeneza pinde na mishale, tayari kuwafyatua wazungu mpaka waseme "oh my god"!
Hahaha!hii isije kuwa kama "KIBANGA AMPIGA MKOLONI" ila jamaa kwa mishale tu hawajambo, na pia wanautaalam wakujigeuza Simba si unakumbuka wale simba wala watu toka ukanda huo!
 
Huu sasa upuuzi. Kila yakinguduliwa mafuta au gesi watu wanataka nchi yao. Ajabu watu hao hao wamefaidi raslimali nyingine kama madini na mbuga za wanyama vilivyoko mikoa mingine bila malalamiko. Ingawa tunajua mnasumbuliwa na umaskini na ujinga, tusiendekeze njaa na ujuha wa changu changu chako chetu au chako kitamu changu kichungu. Mtwara hawajanyimwa fursa ya kufaidika na gesi bali ukweli kuwa hakuna miundombinu ya kufanikisha uuzaji wa gesi husika. Ni ajabu kuwa kila mjinga anadhani yakigunduliwa mafuta au gesi basi sehemu yake itageuka Dubai overnight bila hata mipango!
Wewe nadhani huijui Mtwara kabisa unakurupuka tu, hata kusoma historia yake bado pia! Mtwara wanafaidika na rasilimali zingine kama madini etc kivipi?? Mkoa masikin wa kutupa unasema wanafaidika? Kajipange na sio lazima uchangie hata kama huna point. Siungi mkono mgawanyo wa rasilimali kiukanda ila napinga upotoshaji wako about Mtwara.
 
Huu sasa upuuzi. Kila yakinguduliwa mafuta au gesi watu wanataka nchi yao. Ajabu watu hao hao wamefaidi raslimali nyingine kama madini na mbuga za wanyama vilivyoko mikoa mingine bila malalamiko. Ingawa tunajua mnasumbuliwa na umaskini na ujinga, tusiendekeze njaa na ujuha wa changu changu chako chetu au chako kitamu changu kichungu. Mtwara hawajanyimwa fursa ya kufaidika na gesi bali ukweli kuwa hakuna miundombinu ya kufanikisha uuzaji wa gesi husika. Ni ajabu kuwa kila mjinga anadhani yakigunduliwa mafuta au gesi basi sehemu yake itageuka Dubai overnight bila hata mipango!
napinga hoja yako....gharama za hizo pipes na hao contractors wa kichina zinatosha kujenga miundombinu hiyo.....wametumia pesa nyingi for nothing,,,jaribu kufika pale songosongo uangalie watu wa pale walivyo maskini na gesi yao ndo inatengenezea umeme unaolipiwa mabilioni na Tanesco kwa siku,,,,,kaa chini fikiria kiundani,why dar-es-salaam and why bagamoyo na kuko over-populated tayari,,,mpaka wabomoe nyumba za maskini wawahamishe tena ili kupitisha gesi na mafao yao muwanyime pia......inakera,,,,wana-Mtwara kaka yenu nawa-support...do what is right for your generation,hii ni very big project ****** anahamishia kwao.
 
Sitaki kusema sana mtwara hamna bandari?pili je kuacha hao tunaowaita wapuuzi gesi itanufaisha nchi au ni kama tanzanite na kenya pia south africa.
 
Gesi ibaki au tugawane nchi........hapa namkumbuka aliyekuwa mbunge wa Tandahimba Mh Said Salim Nandonde......
 
mkuu shida si gas kutotoka mtwara, swali la kujiuliza ni je mtwara na ukanda wote wa kusini utanufaikaje na hiyo gas? mikoa ya lindi na mtwara ni maskini sana, amini usiamini kuna wilaya nyingi kama vile nanyumbu, liwale, ruangwa, nachingwea bado hazina umeme wa kueleweka licha ya gas kua jirani. kumbuka ni zaidi ya miaka mitano sasa gas inahamishwa toka songosongo kilwa kwenda dar, ilihali watu wa maeneo jirani kama liwale hawana umeme. kwanini huo uwekezaji mkubwa usifanyike hukuhuku kusini? kwanini gas ipelekwe bagamoyo?kwa nini viwanda visijengwe mtwara ila bagamoyo? kwa nini bandari ya mtwara yenye kina kirefu tanzania isiboreshwe?kwa nini ikajengwe mpya bagamoyo?




ka kuwa mererani kuna TANZANITE NADHANI NAO WANATAKIWA WAJITENGE ILI WATUMIE TANZANITE YAO. SISI WA MOSHI TUTAJITENGA ILI TUFAIDI PESA YA UTALII WA MLIMA KILIMANJARO.MARA NAO WATATAKIWA WAHAKIKISHE KWAMBA HELA YA SERENGETI WANAKUSANYA WENYEWE;ZAIDI YA HAPO WAPEWE NCHI YAO.MWANZA WANATAKIWA WASIKUBALI MTU AKACHUKUA DAGAA WAO.WENYE DHAHABU WAACHWE WAPUMUE.SI WAPEWE NCHI YAO! UPUUZI MKUBWA! TATIZO WAKATI WENGINE WANAFIKIRI KWA KUTUMIA AKILI WENGINE WANAFIKIRI KWA KUTUMIA 07........
 
Huu sasa upuuzi. Kila yakinguduliwa mafuta au gesi watu wanataka nchi yao. Ajabu watu hao hao wamefaidi raslimali nyingine kama madini na mbuga za wanyama vilivyoko mikoa mingine bila malalamiko. Ingawa tunajua mnasumbuliwa na umaskini na ujinga, tusiendekeze njaa na ujuha wa changu changu chako chetu au chako kitamu changu kichungu. Mtwara hawajanyimwa fursa ya kufaidika na gesi bali ukweli kuwa hakuna miundombinu ya kufanikisha uuzaji wa gesi husika. Ni ajabu kuwa kila mjinga anadhani yakigunduliwa mafuta au gesi basi sehemu yake itageuka Dubai overnight bila hata mipango!
Charity begins at home Gentleman... Shuzi ulilojamba halianzi kunuka mita mia mbele, huanzia kwako!
 
hivi unafikiri Mtwara hawataki hio hela? wanataka lakini Arusha kuna utalii mji wao mzuri Dar makao makuu ya nchi ndio kuko mbele zaidi sisi Mtwara mmmhh na sisi tunataka maendeleo zaidi ya Bandari kuna nini zaidi na hiyo bandari ilijengwa ili kupitisha silaha kwenda kusini wakati wa ukombozi kule kusini
Hivi nyinyi munaopiga kelel mumefika kule Kusini? angalia barabara ya kibiti ukivuka daraja tu ndio utajuwa kwanini wale wanaopewa uhamisho kwenda kusini wanaacha kazi
 
Huu sasa upuuzi. Kila yakinguduliwa mafuta au gesi watu wanataka nchi yao. Ajabu watu hao hao wamefaidi raslimali nyingine kama madini na mbuga za wanyama vilivyoko mikoa mingine bila malalamiko. Ingawa tunajua mnasumbuliwa na umaskini na ujinga, tusiendekeze njaa na ujuha wa changu changu chako chetu au chako kitamu changu kichungu. Mtwara hawajanyimwa fursa ya kufaidika na gesi bali ukweli kuwa hakuna miundombinu ya kufanikisha uuzaji wa gesi husika. Ni ajabu kuwa kila mjinga anadhani yakigunduliwa mafuta au gesi basi sehemu yake itageuka Dubai overnight bila hata mipango!

Father of All except me! unategemea miujiza ilete hiyo miundo mbinu? miaka 51 bila barabara,huduma za afya,elimu duni, kutapeliwa korosho,hizo rasimali zenu tumezifaidi wap?
 
Back
Top Bottom