Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Duhu, mabango!
Mshua hii gesi ni ya wamakonde tafuta ya wakwere
Mh. Kikwete tatizo sio ges mikataba yako noma
Gesi kwanza uhai baadae
Ukiiuaa tunakupeleka the Heg, gesi haitoki
Bandari Bagamoyo, Gesi Bagamoyo, Bandari Bagamoyo, Mtwara wapuuzi?
Gesi ibaki au tugawane inchi.
Mshua hii gesi ni ya wamakonde tafuta ya wakwere
Mh. Kikwete tatizo sio ges mikataba yako noma
Gesi kwanza uhai baadae
Ukiiuaa tunakupeleka the Heg, gesi haitoki
Bandari Bagamoyo, Gesi Bagamoyo, Bandari Bagamoyo, Mtwara wapuuzi?
Gesi ibaki au tugawane inchi.