GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 3,575
- 4,634
Ok.Inaingia kwenye hifadhi ya barabara!
Ok.Inaingia kwenye hifadhi ya barabara!
Kuna kipindi walitolewa...,Aiseee Kkoo kulikuwa kuzuri balaa. Nimemiss yale maisha.haikubaliki hii mbona jiwe aliwaruhusu na vitambulisho wanavyo huu ni uonezi
Waondoke waondokeRC Makalla ametoa muda wa mwezi mmoja kuanzia leo wamachinga walio katika maeneo yafuatayo kuhama:
1. Kwenye hifadhi ya barabara
2. Waliojenga vibanda juu ya mifereji ya maji machafu
3. Mbele ya maduka
4. Mbele ya taasisi za umma
5. Mbele ya shule za msingi na sekondari
Jumaa kareem!
Subiri sheikhChama kubwa hategemei kura, we vipi?
Watanzania hawatochagua magaidi wawaongoze.Kisha zitahamia chadomo
CCM hatuibi kura bana.CCM hawahitaji kura za machinga kwasababu kama kawaida watafanya wizi wa kura.
Kura za watu.Ccm inategemea kura ya mtu kwani?!!
Nikweli unacho sema ila napenda kukumbusha wengi wao kwa sasa machinga ni wasomi waliokosa ajira hivyo wameingia mtaani kubuni ajira. Kwa bahati mbaya serikali imewachukua poa na sasa ndio jeshi hatari lenye nguvu ambapo akipatikana mtu wakuwasha moto serikali itasema pooo. Yani ni hatari ya noma.... Wewe huwenda una ajira ila wao hawana ajira na wana akili kuliko wewe. EndHawa wachafuzi na waharibifu waondolewe, jiji limekuwa kama danguro
Sio kwa ccm!!kama hata mgombea mwenyewe tu kuna wakati anakuta hata kura yake aliyojipigia haipo kuna nini tena?Kura za watu.
Tunategemea sana kura za watu
Ni DC gani huyo mkuu, nilipitwa kidogo na udambwi udambwi wa matukio mjini kwa muda wa wiki mbiliHuyo ana akili timamu sio mkuu wa wilaya anayelazimisha benki kumkopesha mamilioni eti ya wamachinga wakati hajui idadi yao isitoshe hajui ataurudisha vipi mkopo..
Ataifanya serikali kuingia madeni yasiyo ya lazima na mbadala ni makodi kupanda.
"Kama uraya,mavitu mliokuwa mnayaona kwenye TV huko uraya sasa yatakuwa hapa"Hawa wachafuzi na waharibifu waondolewe, jiji limekuwa kama danguro
Hizo porojoSio kwa ccm!!kama hata mgombea mwenyewe tu kuna wakati anakuta hata kura yake aliyojipigia haipo kuna nini tena?
Ingekuwa kajificheni hakupati wateja basi soko la Mbuzi loliondo kibaha lingekosa kabisa wateja.Maana lipo kajificheni lakini watu wanasafiri kutuata nyamachoma kajificheni hukohuko.Wamachinga wameachiwa ndo tumefika hapa.Hata ukijenga soko hawataki kuja.Kigogo Kuna soko,kisutu Kuna soko,Magomeni Kuna soko Lkn Wamachinga hawataki kwendaSiyo wao bali ni uchumi wa nchi umefeli kutoa ajira.
Bidhaa huuzwa kwenye wateja siyo " kajificheni"
Kinachotakiwa ni kuwawekea utaratibu wa kisheria kule kule kwenye wateja!
Yaani .wameziba barabara halafu Tena wanamdhuru anayetakiwa kutumia barabara.Matukio Kama hayo ndo yangetumika kuhalalisha kuwatoaHawa wajinga sio wakuwachekea kabisa,ni waharibifu na wauaji. Nishashuhudia wakimuua jamaa mmoja akiwa kwenye Gari lake pale Mtaa wa Narung'ombe kisa kakanya bidhaa zao walizopanga njiani.
Exactly Wamachinga huwa hawapigi kura.Wanachoweza Ni kupiga tu miluzi Wakati wa kampeni msafara wa wagombea ukipita lakini kwenye kupiga kura usimtegemee machingaKura gani maneno tu kwanza wengi hata vitambulisho hawana kelele tu. Makala safisha mji huo watu watakuelewa tu. tumia ustaarabu hawataki nguvu unazo hapa shida ni Rais na PM wako very weak kauli zao hata hujui wanataka nini. very sad
Nani alikudanganya Tz kura ndio zinaamua?Naziona kura zinaondolewa
Kuna machinga nilimuona pale mbezi mwisho anauza tambi za taa za chemliYaani vijana wadogo wenye ndevu mpya, nguvu mpya na ari mpya badala ya kwenda kufanya uzalishaji wanazunguka na saa, mikufu, spana n.k kutoka china eti unajenga uchumi wa nchi? Mkifuata kauli ya mama eti kuwatoa kiustaarabu mtakesha. Mzuka alioanza nao sasa hivi wangeshaondoka lakini naona kama anakatishwa tamaa.