BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Hapo ndipo napowashangaa wanaotoa izo kauliCcm inategemea kura ya mtu kwani?!!
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hapo ndipo napowashangaa wanaotoa izo kauliCcm inategemea kura ya mtu kwani?!!
Ndio hawa akina Mrangi wa Chadema!Toka enzi za Mzee Mwinyi "matching guy" walikuwapo...
Waungane,wakodishe ferem,kwa mfano wanne,wanaweza wakaungana,na kukodisha Frem,wakalipa kodi kwa kuchanga,wakalipa leseni kwa pamoja,wakalipa mapato kwa pamoja,na mwenye Frem akalipa kodi ya zuio(withholding tax).Waondoke kwenda wapi?..
Miaka ya nyuma nasikia Makonda aliwatoa machinga wa Ubungo na kuwaonyesha eneo lingine la Mawasiliano pale.....
Hebu wapangeni wamachinga wawe kwenye sehemu sahihi,mbona kama unaleta ugumuWewe wakati unauza mitumba nani alikusumbua?
Watajipanga wenyewe bwashee zoezi ni shirikishi!Hebu wapangeni wamachinga wawe kwenye sehemu sahihi,mbona kama unaleta ugumu
Su unapenda vurumai lao
Ova
Sijawahi uza mitumba muulize diboWewe wakati unauza mitumba nani alikusumbua?
We mkenya wewe ,waachwe watafute rizikiHawa wachafuzi na waharibifu waondolewe, jiji limekuwa kama danguro
Nadhani hukusoma na kuelewaHuyo ana akili timamu sio mkuu wa wilaya anayelazimisha benki kumkopesha mamilioni eti ya wamachinga wakati hajui idadi yao isitoshe hajui ataurudisha vipi mkopo..
Ataifanya serikali kuingia madeni yasiyo ya lazima na mbadala ni makodi kupanda.
Kwanini tusianze na lumumba JoVile vibanda mbele ya ofisi yenu pale Ufipa viondoke bwashee!
Lumumba wale wauza jezi za chama wameshapewa notisi!Kwanini tusianze na lumumba Jo
Ulikuwa na duka?Sijawahi uza mitumba muulize dibo
Nani alikuwa anawavisha raba kali na mpya
Vitu vya kijanja hapa mjini
Ova
Sawa tuanze nao haoLumumba wale wauza jezi za chama wameshapewa notisi!
Pale Akiba DIT na CBE ni kero kwa kweli ila Wanatusaidia sana vitu vidogovidogoMbele ya taasisi za umma
Sijawahi kupafahamu Ufipa wala sina mpango wa kupafahamu.
Lazima ukubali kuwa machinga ni mtembezi wa kuuza bidhaa ndogo ndogo /duka litembealo, ukijifanya kuganda kodi kama zote wanazolipa wenzako zitakuhusu tu.
Swali lingine!!!?
Kosa lote hilo ni la magufuli na ccm yake waliowaruhusu machinga wafanye biashara popote wanavyopenda kwa gharama ya kupinga mkono ccm kwenye chaguzi feki za 2020 sasa mshawatumia ndio mnajuwa sheria sasa hivi wachieni tu waweke biashara zao mpaka mbele ya ikulu.Hawa wachafuzi na waharibifu waondolewe, jiji limekuwa kama danguro
wamewalea machinga Hadi wamekuwa mibuyu mikubwa