johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
RC Makalla ametoa muda wa mwezi mmoja kuanzia leo wamachinga walio katika maeneo yafuatayo kuhama:
1. Kwenye hifadhi ya barabara
2. Waliojenga vibanda juu ya mifereji ya maji machafu
3. Mbele ya maduka
4. Mbele ya taasisi za umma
5. Mbele ya shule za msingi na sekondari
Jumaa kareem!
1. Kwenye hifadhi ya barabara
2. Waliojenga vibanda juu ya mifereji ya maji machafu
3. Mbele ya maduka
4. Mbele ya taasisi za umma
5. Mbele ya shule za msingi na sekondari
Jumaa kareem!