Wamachinga warejea kwenye maeneo waliyofukuzwa

Sir robby

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
2,400
4,073
Hatimae WAMACHINGA wameanza tena KUREJEA katika Maeneo WALIYOFUKUZWA licha ya AGIZO la RAIS Samia kuwaagiza WAKUU wa MIKOA kuwapanga UPYA ktk Maeneo RASMI

Je, hii hali inatafsiri nini kwa Wakuu wa Mikoa?
JE, WAMESHINDWA KAZI?

1657875727016.jpg

=====
Ikiwa imepita miezi minane tangu Serikali iwaamuru wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) wahame katika maeneo yasiyo rasmi, wameanza kurejea huku wakibadili mbinu za ufanyaji biashara.

wachimbaji-pic.jpg


Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan aliwaagiza wakuu wa mikoa nchini kuwapanga wamachinga katika maeneo stahiki bila kusababisha vurugu.

Licha ya ugumu kuwaondoa wafanyabiashara katika maeneo hayo, hatimaye baadhi ya wakuu wa mikoa wakiwatumia mgambo wa halmashauri za wilaya, manjispaa na majiji walifanikiwa kuwaondoa.

Warejea

Baada ya kuondolewa kwa wafanyabiashara hao, baadhi yao walibuni mtindo mpya wa kurejea kwenye maeneo yao nyakati za jioni, wakati ambao mgambo hawapo, huku wengine wakirejea polepole maeneo ya katikati ya majiji.

Mwananchi limetembelea maeneo walikorejea wafanyabiashara na kuzungumza nao.

Ramadhani Kassim, anayefanya biashara eneo la Mnazi Mmoja alisema, baada ya Serikali kuwahamishia kwenye soko la Kisutu na Machinga Complex, aliamua kurudi kutokana na biashara anayoifanya.

“Ni kweli Serikali ilituondoa hapa kituoni, lakini mimi biashara yangu nategemea abiria na wapitanjia, ninachofanya bidhaa zangu nimezificha sehemu, ninapomuona mtu anaulizia naenda kumbchukulia,” alisema Kassim.

Naye Janet Ishengoma alisema anafanya biashara ya kuuza chakula kwa kuibaiba, kwani mgambo wamekuwa wakiwakamata na kuwanyang’anya na kuvipeleka
 
Hatimae WAMACHINGA wameanza tena KUREJEA katika Maeneo WALIYOFUKUZWA licha ya AGIZO la RAIS Samia kuwaagiza WAKUU wa MIKOA kuwapanga UPYA ktk Maeneo RASMI
Je hii hali inatafsiri nini kwa Wakuu wa Mikoa?
JE WAMESHINDWA KAZI?View attachment 2291310
Nitakuwa wa ajabu kumfukuza machinga aliyerudi sehemu isiyokuwa sahihi kwake wakati hata wabadilifu wa fedha wakubwa nchini wa enzi hizo wanateuliwa tena kwenye nyadhifa zingine nzuri tu.
 
Acha ndugu zetu wajipatie kipato.

Hao walifukuzwa ili miji ipendeze kuwapisha watalii.

Sasa Royal Tour imebuma watalii hakuna.

Kazi iendelee.
 
Ikiwa imepita miezi minane tangu Serikali iwaamuru wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) wahame katika maeneo yasiyo rasmi, wameanza kurejea huku wakibadili mbinu za ufanyaji biashara.
wachimbaji-pic.jpg

Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan aliwaagiza wakuu wa mikoa nchini kuwapanga wamachinga katika maeneo stahiki bila kusababisha vurugu.

Licha ya ugumu kuwaondoa wafanyabiashara katika maeneo hayo, hatimaye baadhi ya wakuu wa mikoa wakiwatumia mgambo wa halmashauri za wilaya, manjispaa na majiji walifanikiwa kuwaondoa.

Warejea

Baada ya kuondolewa kwa wafanyabiashara hao, baadhi yao walibuni mtindo mpya wa kurejea kwenye maeneo yao nyakati za jioni, wakati ambao mgambo hawapo, huku wengine wakirejea polepole maeneo ya katikati ya majiji.

Mwananchi limetembelea maeneo walikorejea wafanyabiashara na kuzungumza nao.

Ramadhani Kassim, anayefanya biashara eneo la Mnazi Mmoja alisema, baada ya Serikali kuwahamishia kwenye soko la Kisutu na Machinga Complex, aliamua kurudi kutokana na biashara anayoifanya.

“Ni kweli Serikali ilituondoa hapa kituoni, lakini mimi biashara yangu nategemea abiria na wapitanjia, ninachofanya bidhaa zangu nimezificha sehemu, ninapomuona mtu anaulizia naenda kumbchukulia,” alisema Kassim.

Naye Janet Ishengoma alisema anafanya biashara ya kuuza chakula kwa kuibaiba, kwani mgambo wamekuwa wakiwakamata na kuwanyang’anya na kuvipeleka

Chanzo: Mwananchi
 
Ni Rais mmoja tu ndio alipendana na Watanzania kwelikweli kwa miaka hii 17 ya karibuni.
 
Ikiwa imepita miezi minane tangu Serikali iwaamuru wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) wahame katika maeneo yasiyo rasmi, wameanza kurejea huku wakibadili mbinu za ufanyaji biashara.

Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan aliwaagiza wakuu wa mikoa nchini kuwapanga wamachinga katika maeneo stahiki bila kusababisha vurugu.

Licha ya ugumu kuwaondoa wafanyabiashara katika maeneo hayo, hatimaye baadhi ya wakuu wa mikoa wakiwatumia mgambo wa halmashauri za wilaya, manjispaa na majiji walifanikiwa kuwaondoa.


Warejea

Baada ya kuondolewa kwa wafanyabiashara hao, baadhi yao walibuni mtindo mpya wa kurejea kwenye maeneo yao nyakati za jioni, wakati ambao mgambo hawapo, huku wengine wakirejea polepole maeneo ya katikati ya majiji.

Mwananchi limetembelea maeneo walikorejea wafanyabiashara na kuzungumza nao.

Ramadhani Kassim, anayefanya biashara eneo la Mnazi Mmoja alisema, baada ya Serikali kuwahamishia kwenye soko la Kisutu na Machinga Complex, aliamua kurudi kutokana na biashara anayoifanya.

“Ni kweli Serikali ilituondoa hapa kituoni, lakini mimi biashara yangu nategemea abiria na wapitanjia, ninachofanya bidhaa zangu nimezificha sehemu, ninapomuona mtu anaulizia naenda kumbchukulia,” alisema Kassim.

Naye Janet Ishengoma alisema anafanya biashara ya kuuza chakula kwa kuibaiba, kwani mgambo wamekuwa wakiwakamata na kuwanyang’anya na kuvipeleka

Wamachinga warejea maeneo waliyofukuzwa | Mwananchi - Wamachinga warejea maeneo waliyofukuzwa
Tukumbushane,

Wakati mijadala mingine ikiendelea nchini,

AGENDA kuu Kwa sasa nchini ni KATIBA MPYA.

RASIMU alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani mjadala uanzie hapo.

Ameeeen
 
Ikiwa imepita miezi minane tangu Serikali iwaamuru wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) wahame katika maeneo yasiyo rasmi, wameanza kurejea huku wakibadili mbinu za ufanyaji biashara.

Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan aliwaagiza wakuu wa mikoa nchini kuwapanga wamachinga katika maeneo stahiki bila kusababisha vurugu.

Licha ya ugumu kuwaondoa wafanyabiashara katika maeneo hayo, hatimaye baadhi ya wakuu wa mikoa wakiwatumia mgambo wa halmashauri za wilaya, manjispaa na majiji walifanikiwa kuwaondoa.


Warejea

Baada ya kuondolewa kwa wafanyabiashara hao, baadhi yao walibuni mtindo mpya wa kurejea kwenye maeneo yao nyakati za jioni, wakati ambao mgambo hawapo, huku wengine wakirejea polepole maeneo ya katikati ya majiji.

Mwananchi limetembelea maeneo walikorejea wafanyabiashara na kuzungumza nao.

Ramadhani Kassim, anayefanya biashara eneo la Mnazi Mmoja alisema, baada ya Serikali kuwahamishia kwenye soko la Kisutu na Machinga Complex, aliamua kurudi kutokana na biashara anayoifanya.

“Ni kweli Serikali ilituondoa hapa kituoni, lakini mimi biashara yangu nategemea abiria na wapitanjia, ninachofanya bidhaa zangu nimezificha sehemu, ninapomuona mtu anaulizia naenda kumbchukulia,” alisema Kassim.

Naye Janet Ishengoma alisema anafanya biashara ya kuuza chakula kwa kuibaiba, kwani mgambo wamekuwa wakiwakamata na kuwanyang’anya na kuvipeleka

Wamachinga warejea maeneo waliyofukuzwa | Mwananchi - Wamachinga warejea maeneo waliyofukuzwa
If you can not fight them, join them
 
Hayo ndio maeneo yao yenye biashara, kuwaondoa hapo ni sawa na kuwalaza njaa.
 
Nchi ya kwetu sote... Waende wapi..
Wao siyo tatizo.... WAO NI MATOKEO YA TATIZO...

VYOMBO VYA HABARI WASAIDIENI HAWA JAMAA... SIYO WAASI HAWA. WAO SIYO TATIZO😭😭😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom