rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,190
- 20,155
jana nimepita kariakoo, nimekuta watu wanafanya biashara ndani ya barabara. Hawa wanaofanya biashara ndani ya barabara wanatakiwa waondolewe haraka wakati wanaofanya kwenye hifadhi ya barabara watafutiwe sehemu rafiki ila tukiendelea kuwachukulia poa ipo siku maafa yatatokea halafu tuanze kulaumiana.